Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Msaada wa kupata odds 10
Nataka niweke nusu ya hela ya kikoba ya mama chanja.

Nimempokea hela yake yeye kaenda moshi ...nikasema mtaji si ndo huu jamani
Leo Odds 10 zimekata vibaya mnoo kuziset kwenye less risk
Nyingi zimekata ngum kama Tako la Fundi cherehani

Subiri usiku tutatupia za kesho, at least zinaonekana kidogo uwezekano wa kupoteza mdogo na hiyo NDIO trending yetu wakamaria
 
Rasmi nimeachana na huu utapeliii...RASMI NIMEKUBALI HUU NI UJINGA KWANGU. Wenzangu safari njema mbutue mamilion hayo
MUNGU akubariki,ukija uje na Jina jingine will ijayo

Anayeacha haaagi,wala hatoi taarifa

Uzuri wa Betting ni kwamba unajitapeli Mwenyeweeee
Sasa anza kujikataa kwanza wewe mwenyewe
Ila Chama cha wachezaji KAMARI kinakushkuru saaana Tena saaana kwa kuchangia TRA mapato ya Serikali 👏👏👏👏👏
Ungeambiwa kwa hiari ungemtukana Mama SAMIA mpaka na Bibi yake
 
Murifeee Don't run ...Don't run
Mkuu tunabet for fun .. japo hii ni kazi
Principle ya stake what you can afford to lose ndio nguzo pekee ya kuzingatia.

Pumzika .. utarudii tu
🤣🤣🤣daah leo siku ya kwanza bila jamvii
 
MUNGU akubariki,ukija uje na Jina jingine will ijayo

Anayeacha haaagi,wala hatoi taarifa

Uzuri wa Betting ni kwamba unajitapeli Mwenyeweeee
Sasa anza kujikataa kwanza wewe mwenyewe
Ila Chama cha wachezaji KAMARI kinakushkuru saaana Tena saaana kwa kuchangia TRA mapato ya Serikali 👏👏👏👏👏
Ungeambiwa kwa hiari ungemtukana Mama SAMIA mpaka na Bibi yake
Nishaacha na kurudi mara kibao lakini sasa sitarudiii
 
THE BLACK DIAMOND, 1xbet cash point Jinsi ya kujisajili 1XBET kwa urahisi na haraka.
Pakua app ya 1xbet hapa 👉🏼 👇🏾
https://refpa7921972.top/L?tag=d_437363m_1573c_&site=437363&ad=1573
kisha jisajili kwa kufuata hatua hizi👇🏼 registration, chagua One click, jaza promo code hii 78 chagua bonus for sports. Utapewa ID yako na password. Zitunze na uzitumie ktk ku log in/out.

NJIA ZA MALIPO 👇🏼👇🏼👇🏼

Kulipa kwa m-pesa
5850883
( Lipa The Black Diamond )

Tigo pesa
7362602( Sigara shop* )

NMB account👉🏽👇🏾61301610682
(Lucas sigallah)

Crdb 👉🏽0152624020400
(Lucas sigallah)
WhatsApp only 0717561222
Tutadeposit pamoja 💰
Tutabeti pamoja ✊🏻
Tutawithdraw pamoja 🤑
# Aliyetuumba Hana ubinafsi! 🫶🏽
💪🏽
asante mkuu
 
Jaribu kuwa mtundu wa ku fix options

Kuna bonus ambazo zinataka kila Mechi iwe na odds kuanzia Fulani, wengine Wana fix odds za juuu Ili wakupige Tena,numbers of matches haijalishi ila odd ya kila Mechi iwe kubwa na overall Odds ina kiwango chake
Hilo sio tatizo.... Kikubwa ni kujua inatumikaje.......
 
Kumekuchaaaaaaaa

Today's Hits from GOVERNOR my self:-

1 ) ARSENAL vs Ipswich
Hii Mechi ni nyepesi kwa Arsenal ila Ipswich ni team ya Surprises.
Pia tujue Bukayo Sakka hayupo na anaweza kukosa msim Mzima

Sasa options nimezoenda nazo:-

A) Arsenal Over 1.5
B) Bookings Over 2.5

2 ) AZAM vs JKT
JKT Katoka kucheza Mechi alizotumia nguvu kubwa mnoo
JKT kama Team nyingine tu anapokutana na Simba au YOUNG AFRICANS basi hujitoa kupitia kiasi.
AZAM Fc na yote yake, sticking force yao ni ya Hali ya juuu mnooo
JKT anaweza kufungika kirahisi mnoo leo

Options:-
A) Azam vs JKT over 1.5
B) AZAM Fc over 1.5

3 ) BRIGHTON vs BRENTFORD
Hawa wajinga wote wanatumia nguvu mnoo kuliko akili,Mechi zao zote ni tough mnoo kama Prison ya kina Asukile.Au kama ilipokuwa Wolves zamani
Na tabia ya watata wa mid-table teams wakikutana basi goals zakutosha pia,na sijui kama mmoja Hali Umeme kwenye hii mechi
Mie hiiechi nimeipa

A) Bookings over 2.5
B) Overall Goals 1.5

Note:-
Ni mtizamo wangu na sio guarantee kwamba lazima iwe hivyo
But those are options which I opted on them

All the best Brothers👏👏👏👏🙏
Hiii imeenda vizuri mpk sasa
 
Li
coupon_58775321801_2325481.png
ve
 
Naona Leo Brighton vs Brentford wanaocheza kistaraabu sana hakuna kadi first half hata moja🤣
Ngoja tuone kipindi Cha pili
 
Back
Top Bottom