Kumekuchaaaaaaaa
Today's Hits from GOVERNOR my self:-
1 ) ARSENAL vs Ipswich
Hii Mechi ni nyepesi kwa Arsenal ila Ipswich ni team ya Surprises.
Pia tujue Bukayo Sakka hayupo na anaweza kukosa msim Mzima
Sasa options nimezoenda nazo:-
A) Arsenal Over 1.5
B) Bookings Over 2.5
2 ) AZAM vs JKT
JKT Katoka kucheza Mechi alizotumia nguvu kubwa mnoo
JKT kama Team nyingine tu anapokutana na Simba au YOUNG AFRICANS basi hujitoa kupitia kiasi.
AZAM Fc na yote yake, sticking force yao ni ya Hali ya juuu mnooo
JKT anaweza kufungika kirahisi mnoo leo
Options:-
A) Azam vs JKT over 1.5
B) AZAM Fc over 1.5
3 ) BRIGHTON vs BRENTFORD
Hawa wajinga wote wanatumia nguvu mnoo kuliko akili,Mechi zao zote ni tough mnoo kama Prison ya kina Asukile.Au kama ilipokuwa Wolves zamani
Na tabia ya watata wa mid-table teams wakikutana basi goals zakutosha pia,na sijui kama mmoja Hali Umeme kwenye hii mechi
Mie hiiechi nimeipa
A) Bookings over 2.5
B) Overall Goals 1.5
Note:-
Ni mtizamo wangu na sio guarantee kwamba lazima iwe hivyo
But those are options which I opted on them
All the best Brothers👏👏👏👏🙏