Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Nipo mama ulitaka nistake ngapi huo ndio utaratibu wangu mpyaa vp kuna swali la nyongeza 😋😋
😂 We jamaa bhn makasiriko mpka unatukana, asa unachotetea nini apo Yani umepost mkeka na bet ID inasomeka pale juu , ndomana nkasema we unatuona sisi watoto au washamba , bet ID hyo ukisearch haisomi huu mkeka
 
😂 We jamaa bhn makasiriko mpka unatukana, asa unachotetea nini apo Yani umepost mkeka na bet ID inasomeka pale juu , ndomana nkasema we unatuona sisi watoto au washamba , bet ID hyo ukisearch haisomi huu mkeka
Unawzaje ku serach bet ID ya mtu mwingine mkuu au wewe ni admin unafanya kazi kwenye hiyo kampuni anayobeti?
 
Vita ilikuwa kali ila tulishinda.
 

Attachments

  • Screenshot_20241229_113243_1xBet.jpg
    91.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241229_113243_1xBet.jpg
    91.6 KB · Views: 6
Tunapiga miguu yote NBA ilitema mpunga odds 10+


Nipo humu jukwaa la mikeka tangu 2017 ila siku hizi watu wa humu wakiona won tiket wananuna sana na shombo nyingi ndio maana ma-legends wanapita kwa mbali.
 

Attachments

  • Screenshot_20241229_113048_1xBet.jpg
    254.9 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…