MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Team zimeisha mpaka ukomae na man city...team michezo 14 imeshinda game moja bado unawadhamini.Man city akicheza na Leo anaweza poteza hii gemu,Kuna muda anapelekewa moto mpaka sio poa
Nimeangali kuanzia dakika ya 35 hadi 45 na amekula hela yangu maana niliomba goli 2 apate.Man city akicheza na Leo anaweza poteza hii gemu,Kuna muda anapelekewa moto mpaka sio poa
Mkuu hongera kwa kumpelekea moto.Aisee Kanji tuishie hapa au tuendelee na dozi
Amina amina mtumishiMwenye mkeka unaopumua nakuombea ule hiyo helaaaaaaa
Dogo nina watoto na mke mmoja nyumbani naitwa babuKama Wewe ni wa kike Sawa kwa huu uandishiwako , Ila kama ni wa kiume Basi Utakuwa umeyaaga mashindano
We nawe mmh umeanza kubet liniπ We jamaa bhn makasiriko mpka unatukana, asa unachotetea nini apo Yani umepost mkeka na bet ID inasomeka pale juu , ndomana nkasema we unatuona sisi watoto au washamba , bet ID hyo ukisearch haisomi huu mkeka
We jamaa ni mjinga sana lakini utapata wajinga wenzio uwapige helaHapa mpaka mseme ugali kwa kihindi unaitwaje kuna watu hamnijui ok ok naitwa mr pipa aka nabii wa mikeka kama unaona edit bas edit na ww tuwekee hapa hapa ni won juu ya woon nishaaga kwetu naenda mjini kubet [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Dogo umekula weka namba utumiwe pesa ukale kwanza usije kufa na wivu kabla hujafa ni dhambiTapeli hilo lisikupotezee muda, tushawaona wengi humu na baadae walikimbia wenyewe.
Kama imejiunga mwaka juzi jf lazima unishangae mi mkongwe hapa mi na kuku kuku anaa akili mingi sana tulia brooWe jamaa ni mjinga sana lakini utapata wajinga wenzio uwapige hela
Acha UTAPELI,mjinga mmoja wewKama imejiunga mwaka juzi jf lazima unishangae mi mkongwe hapa mi na kuku kuku anaa akili mingi sana tulia broo
Dah mkuu nilikua na mkeka wangu unasonga vizuri cash out laki mbili nkatoa nkamueka Braga na liver odd 2.13 nipate kalaki nne na kitu kesho nakipengele nkasolve kapita nayo msengeBraga the mother f**king team