Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hio ya 80k inaweza ikawa mtaji mzuri kwako huko mbeleni ni betting unaweza itao na mkeka ukatiki usikate tamaa wala kuumia ni experience ya kwenye kamari ya kila mtu lakini in safeguarding your asset kuichukua inakupa leverage ya kwenda tena na tena mfano kesho kwa hiyo 80k uka weka timu za 5 odds una 450k mdogo mdogo
 
Wakuu hivi Hawa linebet nani anawafaham vizuri nimeona app Yao nimeipenda kidogo sababu inafanana kila kitu na 1xbet ...
Sio janja janja kweli awa
 
Wakuu hivi Hawa linebet nani anawafaham vizuri nimeona app Yao nimeipenda kidogo sababu inafanana kila kitu na 1xbet ...
Sio janja janja kweli awa
hizo app zote zinazo fanana na 1xbet ni majangaaa...kuweka hela wanakubali chap ukila kutoa sasaa
 
Utakuja kulia siku moja,kama hautaki shida Tumia betwinner,Megapari na melbet ziko poa
Mimi nawekeza na sportybet tu ndugu yangu,nikitwist 1x ndo makampuni nayoayamini..nimeiona hiyo app ndio nikataka niijue zaid kutoka Kwa wajuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…