πππJackpot ya sportbet mechi 10 zimetoa wamenipa Buku moja jerooo...!
Mkuu we si ulisema umeacha kubet?Jackpot ya sportbet mechi 10 zimetoa wamenipa Buku moja jerooo...!
mkuu hawa wazee ukkishinda wanakulipa fasta? au kama ParipesaNgumu kumeza kiasiView attachment 3194371
Hawa nipo nao toka 2019 kipindi hicho nilikuwa nadeposit kwa VISA ya KCB Bank pesa ukitoa ilikuwa inaingia ndani ya siku 14 za kazi.mkuu hawa wazee ukkishinda wanakulipa fasta? au kama Paripesa
Poa poa mkuuHawa nipo nao toka 2019 kipindi hicho nilikuwa nadeposit kwa VISA ya KCB Bank pesa ukitoa ilikuwa inaingia ndani ya siku 14 za kazi.
Hawana shida na una option ya kudeposit mwenyewe kwa mobile au kuna mawakala.
Real Madrid tayari,anauwa mtu hukooooNgumu kumeza kiasiView attachment 3194371
Huyu katoa mapema tu hadi najilaumu ningeongeza stake ya kueleweka halafu niweke pekee yake.Real Madrid tayari,anauwa mtu hukoooo
Bet WON MAPEMA TUUNgumu kumeza kiasiView attachment 3194371
Mkeka umewini mkuu Joanah sikuweka mke, sababu sina.F9Q5Z00 mechi mbili tu za kuweka mke
BP
Hii jackpot tabiri mechi zake kama mkeka wa kawaida sportbet halafu set cut / flex 2-3,kama ikitokea bahati kama hiyo hakuna wakukuibia maana jackpot kama tatu mzuka tu unaweza kuambiwa mpo washindi 100 huwezi kubishaJackpot ya sportbet mechi 10 zimetoa wamenipa Buku moja jerooo...!