😁😁😁 hapana ukijua na kujitengea kiwango sahihi.Mhhh kubeti kutawaua...
Inayoua labda kindege AKA Aviator💔Mhhh kubeti kutawaua...
Siku hizi milioni moja ina sifuri mbili?Wadau za januari tulivu… Mimi kama jokeri wa kubeti leo naona kabisa TP Mazembe akishinda, na kwa maono hayo hayawezi pita hivi hivi hivyo basi nimeamua niweke dau la 1M fedha za kiTanzania kwenye keka langu ambayo malipo yake ni zaidi ya mil 10 after Tax. Wenye ndoto kama mimi ruksa kutia dau
View attachment 3197539
Aviator😁Inayoua labda kindege AKA Aviator💔
Sa rubani si angesema tu kama hataki kupaisha ndege
🤣🤣🤝Hiyo bora ungempa tundu lisu akanywa supu na ugali apate nguvu kushindana mbowe
Sportybet ukidownload mkeka wanaweka hivyo mkuu.. kajaribuSiku hizi milioni moja ina sifuri mbili?
View attachment 3197553
Kwa muhindiHiyo milioni uliyostake iko wapi?