Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

kuwa sizielewi hizi timu kubwa wakicheza na vitimu vya mkiani tabu tupi yaani vitimu vya kuokotea point ukae pazuri kwenye msimamo eti ndio wanapoteza.. dortmund anatia aibu huko ila siku akicheza na leverkusen au liepzg sisi tutaziona ni mechi ngumu ila mshenzi dortmund atashinda kwa magoli ya kutosha kiulaini kabisa..pumbav zake
 
Changamoto sana aisee
 
We si ndio mzee wa correct score 🤣🤣🤣🤣🤣🙌 na ulikua serious mwenyewe unajitetea na kutukana watu Leo imekuaje
Nimeona niwaliwaze kimtindo ila bado napiga pesaa chafu au nilete tena mikeka muone nabii ninavyopiga hela
 
Kila siku unaposti mikeka zaidi ya sita na unawini mmoja wa odd 2 au 1.8 au usiwin kabisa na unaliwa mitano uliweka Dau la si chini ya laki 3 kama sio utapeli basi we unaweza ukawa hauko sawa unahitaji counselling 😂😂 unawaathiri watu wageni kwenye huu tasnia ya betting waone kubwa betting ni rahisi mbona huyu anaweka dau kubwa kumbe unawadanganya na mademo account yako hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…