Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hii game nipo naiangalia sasa wamekosa magoli sana 1HALF, kwa ambaye siyo mwoga goli 2 zipo hapo.
Mimi nasubiri odds zifike 2.5 nijilipue.
 
Clean sheet ni timu kumaliza mechi pasipo kuruhusu goli hata moja

Sasa wewe ulivyobetia ni kuwa hiyo timu ya away isiruhusu goli.

Ila imeruhusu kwa kufungwa goli moja
mmh....siyo kweli ☝☝
 

Attachments

  • Screenshot_2025-01-17-18-43-37-60.png
    142.9 KB · Views: 4
Uchambuzi na CODE ya mizimu ya mababu zangu unakuja hapo baadae

Nina 270k kwenye acc yangu ya betting na nina hitaji 1.3M shemeji yenu nyumba ndogo anasumbuliwa kodi na mwenye nyumba

Nimemwambia SUBIRI WEEKEND KUNA MCHONGO NASIKILIZIA 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…