oko majimaji
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 790
- 2,079
Oyaaa iv unatuchukuliaje? Kwamba sisi mazuzu sio? Sura kama jina lako.
Hongera
🤣🤣🤣🤣Oyaaa iv unatuchukuliaje? Kwamba sisi mazuzu sio? Sura kama jina lako.
Imetokea na kwa Liverpool pia wikendi hii. Mashindano yeyote nje ya ligi kuu na uefa ni ya kuyakimbia kabisa.Rangers alikuwa na odds ya 1.08 na kafungwa. 😬😬
Kwani vipi?Oyaaa iv unatuchukuliaje? Kwamba sisi mazuzu sio? Sura kama jina lako.
Huoni kua unajitekenya mwenyewe alafu unacheka?Kwani vipi?
Huoni kua unajitekenya mwenyewe alafu unacheka?
Vodacom wakutumie sms ya hivi?! Hapo chini inaonekana sender ni Vodacom Tanzania.
Kijana hiyo ni line ya vodacom niliyosajilia akaunti yangu ya BikoSports. Ujumbe haujatoka vodacom, ila umepitia vodacom. Hapo juu hujaona sender wa sms?Vodacom wakutumie sms ya hivi?! Hapo chini inaonekana sender ni Vodacom Tanzania.
Wewe kwa simu unauwezo wa kuweka huo weusi ulioficha haya maneno katika ubora huo kwa kutumia simu?Kijana hiyo ni line ya vodacom niliyosajilia akaunti yangu ya BikoSports. Ujumbe haujatoka vodacom, ila umepitia vodacom. Hapo juu hujaona sender wa sms?
Kama hujui kitu omba uelimishwe. Kuna kitu kinaitwa whatsapp web, unahamishia screen ya simu yako kwenye computer na meseji zote unazipata na kuzituma au kuhariri kwenye computer. Tumia 'Correct score' upige pesa za mhindi, odds hadi 80 mechi moja tuWewe kwa simu unauwezo wa kuweka huo weusi ulioficha haya maneno katika ubora huo kwa kutumia simu?
Usitufanye watoto wadogo humu, wewe siyo tapeli/wakala wa tapeli wa kwanza kuja hapa.
Nascreen shot kwenye simu, najitumia whatsapp, naifanyia kazi kwenye computer. Wapi shida?Hiyo screenshot imekuwa crafted kwenye pc, umetumiwa utume humu.
Humu kuna wabobezi wengi, umeshajileta ulikokuwa unataka kupeleka watu. Huko kwenye correct score ili muwatapeli watu.Kama hujui kitu omba uelimishwe. Kuna kitu kinaitwa whatsapp web, unahamishia screen ya simu yako kwenye computer na meseji zote unazipata na kuzituma au kuhariri kwenye computer. Tumia 'Correct score' upige pesa za mhindi, odds hadi 80 mechi moja tu
View attachment 3232091
We Endelea kujitekenya tu.Kama hujui kitu omba uelimishwe. Kuna kitu kinaitwa whatsapp web, unahamishia screen ya simu yako kwenye computer na meseji zote unazipata na kuzituma au kuhariri kwenye computer. Tumia 'Correct score' upige pesa za mhindi, odds hadi 80 mechi moja tu
View attachment 3232091
Sihitaji kumshawishi mtu, wala sijapost ili nifuatwe na watu. Nimeshea tu opportunity ili anayeweza kujilipua, afanye hivyo. Kama ulidhani nimepost ili watu wafanye mawasiliano na mimi, basi ulikosea sana, sipo huko kabisa na wala sihitaji kumshauri mtu. By the way, kufanya mawasiliano na mtu usiyemjua ni hatari, tena kwa pande zote mbiliHumu kuna wabobezi wengi, umeshajileta ulikokuwa unataka kupeleka watu. Huko kwenye correct score ili muwatapeli watu.
Nenda facebook ndiko rahisi kupata watu wa kuwatapeli, hapa jf sidhani kama utapata watu.