mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,322
- 1,110
wakuu huku bet356.com kwenye live betting kuna pesa za bureee, nimeshakula dollar 100 kwa gemu ya england na switzerland , option ninayocheza ni corners tu
nimedeposit 100$ nimecheza over ya mara tatu kila moja odds za 1.36 , 1.33, 1.35
Niliwaambia mmpe England mkawa wabishi leo mie nalala vzr sana 120,000 yangu imezaa 320,000. Leo shangweeeeee. Kesho nampa yote japan kitu inafouble hadi kilo 5 hivi.
What a day to me 70000 tu niliyoweka asbh imezaa hadi kufikia 330,000 total nimepoteza 20000 tu siku ya leo
Biohazard unatumia bet gani ?
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
easy to use na inaongoza kwa betting options nyingi sanahuko bet365 nadhan yeye ndo anaongoza kwa odds nzuri kuliko makampuni mengine yote katika live betting....utakuta dakika ya ishirini odds za over 0.5 goals zinakaribia 1.30
Ok ngoja nijisajili meridian na mimi umenishawishi
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
wakuu huku bet356.com kwenye live betting kuna pesa za bureee, nimeshakula dollar 100 kwa gemu ya england na switzerland , option ninayocheza ni corners tu
nimedeposit 100$ nimecheza over ya mara tatu kila moja odds za 1.36 , 1.33, 1.35
kuverify account , unaverify mara 2,Mkuu umeverify vp akaunti yako ya bet365 mana mwenyewe nilishajiunga nao ila tatizo ni kuverify akaunti ndo sijafanikiwa
Natumia meridian, before nilikua natumia bet365 ila forex ikawa inanizingua nikaona chai, yani ukipigwa $50 inauma kuliko laki 1 ya bongo.
wakuu huku bet356.com kwenye live betting kuna pesa za bureee, nimeshakula dollar 100 kwa gemu ya england na switzerland , option ninayocheza ni corners tu
nimedeposit 100$ nimecheza over ya mara tatu kila moja odds za 1.36 , 1.33, 1.35
Hizo ndo zangu mkuu, mie napiga mpaka fouls ngapi, au mipira ya kurusha mingapi, hahahaha
hivi odds za kona na faulo zinakuwaje kuwaje mzee mwenzangu
Inategemea na team mkuu,
hivi odds za kona na faulo zinakuwaje kuwaje mzee mwenzangu
ofcoz inategemea....ila mara nyingi za kabla ya gemu over/under 9 corners odds zake ni around 1.7 au 1.8...zinacheza maeneo hayo!
ila mtu ukiona kaanza kubet hizi special options ni baada ya kuliwa sana kwny match winners...hahaha
Niliwaambia mmpe England mkawa wabishi leo mie nalala vzr sana 120,000 yangu imezaa 320,000. Leo shangweeeeee. Kesho nampa yote japan kitu inafouble hadi kilo 5 hivi.
What a day to me 70000 tu niliyoweka asbh imezaa hadi kufikia 330,000 total nimepoteza 20000 tu siku ya leo