Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Naona hizi under 19 zinatupia magoli ile mbaya. Vp kuna timu imefikia 3 goals na bado half
 
Leo kidogo nifanye kosa kubwa maishani mwangu, nimejikuta nimetaka weka bet kwa timu ishinde over 4.5 wakati kipindi cha pili sasa. Ningeliaaaa
 
Kweli mpira mbaya yaaani nimeacha ile timu ya over 4.5 sasa washafunga goli ximefika 6, nilikuwa napata 199000.
 
Iplay8 wanakata 6% kama tax kwa kila win bet. Mimi hii ni biashara kama zingine zote
 
Kweli leo ni siku ya kupiga pesa jamaa slovenia na uruguay 2*2.19*50000=
219000/=ahsante!
 
Waafrika tunaumia sana sababu ya kutaka kuwekeza kidogo na tule kingi. Bora uwekeze kikubwa ule kikubwa kwa mechi moja. Mimi siweki timu nyingi kuanzia sasa yaani ikizidi tatu.
 
Back
Top Bottom