Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Huu mkeka niliweka 6600 na ilikuwa inakuja 24,000.
Dakika ya 92 ya 92 mhindi akasema anipe 21,000 tumalize biashara nikasema nakomaa na wewe mpaka mwisho.

Nakuja kuangalia kuwasha simu ndio kama mlivyosikia kwa maajabu ya Liverpool.
Screenshot_20250213-003931_MelBet.jpg
 
Mechi za kesho: Jkt haijafungwa nyumbani kwenye uwanja wake wa Isamuhyo Dar es salaam Tangu ligi ianze na juzi kamkazia Yanga pia wakatoa droo! Leo Jkt anakutana na Singida big stars! Mpe Jkt ashinde au adroo maana Singida baada ya mechi na Jkt ataenda kukutana na Yanga tarehe 17 kwahyo focus yake kubwa ipo kwenye mechi hyo! Pia Jkt akiwa nyumbani ni mgumu kufungwa

Pale kwenye ligi yenye pesa za kutosha pale Saudia Arabia kutakuwa na mechi Ya Al Nassr na Al ahli kwa kuwa Ronaldo ana malengo ya kuvunja rekod ya kufikisha goli nyingi Hapo Mpe tu Al Nassr atoe goli moja al nasr over 0.5
Pia hapo hapo Uarabuni Saudia kuna mechi Kati ya Al Shabab na Al qadaysia. Mpe Al Qadaysia atoe goli moja Al (Qadaysia over 0.5) maana wapo kwenye form na wamemsajili Aubameyang naona anafunga kama alizaliwa na goli

Pale kwa waarabu wa Africa ligi ya Algeria kuna mechi kati ya Mc alger na kabylie! Tangu Aondoke Kocha Abrahamu Benchika pale Kabylie na kuiacha timu ikiwa kileleni baada ya hapo imekuwa na matokeo ya kusua sua hivyo mpe Mc Alger win or draw maana yuko nyumbani sio rahisi kufungwa na Kabylie! Na cha nyongeza kwa timu za Africa hasa hasa Waarabu timu ikiwa nyumbani ni ngumu kufungwa labda iwe timu ndogo ikicheza na timu kubwa

Tunahamia kwenye Europa hapa ni pagumu kutabiri ushindi Ziombe goli moja timu zenye Forward kali kama Galatasaray atoe over 0.5 mwenyewe maana ana morata pale mbele na Osimen hivyo atafunga tu goli!
Union SG naye yuko vizuri anacheza na Ajax pale muombe Union atoe goli moja over 0.5 maana yuko nyumbani atafunga tu yuko vizuri na Ajax anaruhusu magoli pia

Fenerbahce mpe win or draw Mourinho akifungwa nyumban itakuwa bahati mbaya tu au siku mbaya kazini! Ila hyo mechi ana asilimia nyingi za kushinda ila mpe win or draw kujilinda

NB: Huu ni uchambuzi tu wa mechi na matokeo yanaweza yasiwe kama hivyo ndo maana halisi ya Mpira! Asanteni muda wa kulala Sasa 🙏
 
Back
Top Bottom