oko majimaji
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 790
- 2,079
Nilituma jaribu kupita nayoLeo nikasahau kukuomba code
Hili litimu linafungwa kila gemu duuh,Fala sana huyu man u 😂 yaani Dah
Nilituma jaribu kupita nayo
✅Sportybet
56R5SU
Oya wakuu kwema? Kuna app inaitwa mkeka.co.tz wanatoa dondoo za kubet vp wapo vizuri au ni matapeli?
Naona amefufukaaa huko amerudisha goli mbiliHili litimu linafungwa kila gemu duuh,
Hawana uhusiano na kampuni ya betting ya mkeka bet?Oya wakuu kwema? Kuna app inaitwa mkeka.co.tz wanatoa dondoo za kubet vp wapo vizuri au ni matapeli?
Pole sana afisa, mimi pia nilimpa win, hii mechi ikiisha hivi Celtic asishinde mkeka wangu wa weekend hii unakuwa umechanika.Celtic ni mku*du, oh sorry guys
Nina mi3 yote iko icu Celtic na Orlando piratesPole sana afisa, mimi pia nilimpa win, hii mechi ikiisha hivi Celtic asishinde mkeka wangu wa weekend hii unakuwa umechanika.
Kwa Celtic leo hutokea kwa timu zote, ni very rare scenario kachukua ubingwa bila kufunga hata mechi moja.Nina mi3 yote iko icu Celtic na Orlando pirates
Sema wengine walimpa man u winMan U kachomoa zote dadekiiiii ngoma 2-2
Kuna huyo mjinga totenum sio ajabu atoe draw aisee wakati winning yake ilikuwa tamu odd 2Man Utd kaonesha kiwango kibovu sana msimu huu, binafsi simuweki kabisa kwenye mkeka wowote.