Ni vita tu na kanji unaweka over 1.5 inatoka 1-0 unaweka over 0.5 wanatoka 0-0 unaweka under 4.5 wanatoka 4-1 😁🤣Game zaidi ya 500, ila kupata gemu 5 za ushindi ni kamzozo.
🤣🤣 Unaamua kuweka ashinde yeyote ngoma inaisha 0-0Ni vita tu na kanji unaweka over 1.5 inatoka 1-0 unaweka over 0.5 wanatoka 0-0 unaweka under 4.5 wanatoka 4-1 😁🤣
WEKA POSHO BOSS JAPO NA MIMI NILIPATA YA SUPU....Kuna mkeka niliufuata,sijui ni wako,imechana Moja ila nimecash nimepata ya supu,kama ni huu nitumie namba yako mkuu,nikutumie ya Asante upate ya vocha
REAL VALODID KAMA LINGEPATIKANA GOLI MOJA ILIKUA milioni moja wakaishia 1-1 dah....la kurocha likikubali halinaga bayaKuna mkeka niliufuata,sijui ni wako,imechana Moja ila nimecash nimepata ya supu,kama ni huu nitumie namba yako mkuu,nikutumie ya Asante upate ya vocha
Hiyo game nami ndo imechana mkeka niliweka mia 2 ikaja laki tatu , nilishindwa kucashout nikisubiri nimpune mhindi sema imeshindakana.REAL VALODID KAMA LINGEPATIKANA GOLI MOJA ILIKUA milioni moja wakaishia 1-1 dah....la kurocha likikubali halinaga baya
Hiyo game nami ndo imechana mkeka niliweka mia 2 ikaja laki tatu , nilishindwa kucashout nikisubiri nimpune mhindi sema imeshindakana.
Dah ,goli Moja tu,Mimi ilivyofika dakika 86 naona cash out inazidi kushuka ,nikaona niliingia tamaa naikosa ela hiyo,nikachomoaHiyo game nami ndo imechana mkeka niliweka mia 2 ikaja laki tatu , nilishindwa kucashout nikisubiri nimpune mhindi sema imeshindakana.
Poa poa mkuu,nakukumbuka na posho ,asante.weka na Leo turuke na codeWEKA POSHO BOSS JAPO NA MIMI NILIPATA YA SUPU....0760616369