Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

hizi mechi za mchana hizi dah...sasa man city anataka kuondoka na mshahara wangu hivihivi namuona....3+ inataka kuota mbawa😡
 
Kuna muda nilipeleka hela kwa wakala anidipozitie ili nimtegeshee muhindi bomu nkakuta mtandao unazingua nikaamua kughairi

bahati yangu maana Man City angenifanya kitu mbaya sana
 
Siongelei Sure bets.
Naongelea kama kuna loophole.

Games hizi hazitabiriki kabisa sikuhizi.
Muhim kutafuta a way ambayo stake itarud nusu.
Nimepata moja ndio naifanyia kazi.
So far sio Mbaya.
 
Siongelei Sure bets.
Naongelea kama kuna loophole.

Games hizi hazitabiriki kabisa sikuhizi.
Muhim kutafuta a way ambayo stake itarud nusu.
Nimepata moja ndio naifanyia kazi.
So far sio Mbaya.
Loophole kwa mfano inatafutwaga kwenye 3 ways yaani W1, X au W2.
Unaangalia jinsi bookie walivyotofautiana kupanga odds ambazo zinaweza kukubeba.

Kwa hiyo mfano unakuta
1. umpe simba win kupitia bet365
2. Draw kupitia 1xbet
3. win yanga kupitia williamhill

CHANGAMOTO
1. Unakuta kampuni zenye odds za kukubeba hazina payment method kwenye nchi yako.
2. Payment method zipo ila ukipiga hesabu za makato ya kudeposit na kutoa unabaki na hasara.

Ndio maana tunaamua tuingie front kwa mhindi normal tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…