Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

cwzb3f.jpg

Code👉 YXG9R

Jisajili PariPesa Hapa 👇

https://cutt.ly/hwKXFbXz

https://cutt.ly/hwKXFbXz

Promo Code👉 TIPS2424

Weka Promo Code👉 TIPS2424 Upate Bonus Ya 300,000 Ukijisajili Na Kudeposit Kwa Mara Ya Kwanza.
 
hizi mechi za mchana hizi dah...sasa man city anataka kuondoka na mshahara wangu hivihivi namuona....3+ inataka kuota mbawa😡
 
Kuna muda nilipeleka hela kwa wakala anidipozitie ili nimtegeshee muhindi bomu nkakuta mtandao unazingua nikaamua kughairi

bahati yangu maana Man City angenifanya kitu mbaya sana
 
Huu Uzi una page 20751 unadhani watu hawajawi kujadili kuhusu hiyo njia unayoisemea ya "sure bet" mpaka wanakomaaa na mhindi kawaida.

Kiufupi hiyo njia haiwezekani kwanza kuzipata hizo mechi ni mziki mnene, pili ni makato ya miamala ya simu na benki ukiwa unaweka pesa na mwisho Kila mkeka utakoshinda lazima ukatwe Kodi. Sasa Kuna faida hapo?

Ukisema utumie makampuni ya nje unarusiwa tu lakini kumbuka kuweka pesa huwa ni rahisi sana lakini kuzitoa sahau kabisa na huna wakumlamikia.

Na hizo sure bet huna haja ya kuzitafuta ingia www.oddspedia.com Kila Siku huwa wanazitupia za kutosha, Ni wewe tu kujaribu sasa.

Hata hivyo unaweza jaribu na ukishindwa wala hauitaji kuleta mrejesho hapa
Siongelei Sure bets.
Naongelea kama kuna loophole.

Games hizi hazitabiriki kabisa sikuhizi.
Muhim kutafuta a way ambayo stake itarud nusu.
Nimepata moja ndio naifanyia kazi.
So far sio Mbaya.
 
Siongelei Sure bets.
Naongelea kama kuna loophole.

Games hizi hazitabiriki kabisa sikuhizi.
Muhim kutafuta a way ambayo stake itarud nusu.
Nimepata moja ndio naifanyia kazi.
So far sio Mbaya.
Loophole kwa mfano inatafutwaga kwenye 3 ways yaani W1, X au W2.
Unaangalia jinsi bookie walivyotofautiana kupanga odds ambazo zinaweza kukubeba.

Kwa hiyo mfano unakuta
1. umpe simba win kupitia bet365
2. Draw kupitia 1xbet
3. win yanga kupitia williamhill

CHANGAMOTO
1. Unakuta kampuni zenye odds za kukubeba hazina payment method kwenye nchi yako.
2. Payment method zipo ila ukipiga hesabu za makato ya kudeposit na kutoa unabaki na hasara.

Ndio maana tunaamua tuingie front kwa mhindi normal tu.
 
Back
Top Bottom