Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

View attachment 183997
mkuu nieleweshe hapo kwenye hizo double..treble..fourfold..fivefofd n.k yaan ukiweka mpunga humo maana yake nini?

ukiweka hapo kwenye double unangenezewa mikeka mingimingi na kila mkeka unakuwa na gemu mbili kati ya hizo ulizochagua...na treble mikeka yenye gemu tatu tatu...n.k! ila hata hapo sikushauri..pesa nyingi itaenda! uwe unaweka tu walipo andika "1@"
 
kaka hii ina appy hata hapa kwny live bttng ya meridia ama? Coz napo huwa naona hz point ila nashndwa kucheza kwa kuogopa

meridian hawana hii kitu, odd ya 0.30 katka iplay meidian itakua 1.30 na odd ya 2.5 iplay meridian ni 3.5.....meridian unit ya dau lako lipo kwenye odds tayar.....inshort, ni vilevile tu, haina haja ya kuogopa
 
Hahaha mie nampa Japan 120000 faida 80000

kuna kitu moyoni kinaniambia Japan vs Venezuela, japan anapigwa hii Game..... ngoja niuskize moyo wangu, nampa Venezuela, Please, naomba hii game nife kivyangu, dont follow me
 
kuna kitu moyoni kinaniambia Japan vs Venezuela, japan anapigwa hii Game..... ngoja niuskize moyo wangu, nampa Venezuela, Please, naomba hii game nife kivyangu, dont follow me

Ha ha ha,I will not follow you.
 
Dah hyo ya code ya posta nilisha verify ila hiyo ya passport/national id/driver licence ndo ina nisumbua hadi leo maana sina hizi document ila ngoja nijitahidi kutafuta hata driver licence nami nianze kuwala

Mkuu.. usiangaike Kuna live chart. Nenda address problem watakuomba pin number yako halafu support Team wakiridhika watakwambia utume mail ukiwa umeattach id zako hizo kati ya uliyonayo, either passp au licence au any national id, it will take less than 24 hrs to get verified
 
kama kuna kundi lipo la watsap beeting inakuwa rahis hat kwa wale wanaocheza online wanapata data mapema na mikeka inafika kirahiusi kwa mtu ingekuwa vizur mtu add watsap

Ambaye yupo interested atakutkumia pm, kwani app ya jamii Forum hupati updates immediately?
 
Mi sina laini ya voda ila na account blaclays je haiwezekani kudeposit kwa bank ?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Mkuu usifanye maisha kuwa magumu... Ww sajili Namba ya mpesa ni less than 1500 then Uwe unatumia kw transactions.

Au kama huwezi Kuna option ya ku withdraw kwa mawakala waliopo mjini
 
sawa Biozard napataa kwa uhakika ..nikajua niko nyuma kuna kkund poa bro nimekupata pamoja sana kaka.....
 
kuna kitu moyoni kinaniambia Japan vs Venezuela, japan anapigwa hii Game..... ngoja niuskize moyo wangu, nampa Venezuela, Please, naomba hii game nife kivyangu, dont follow me

Hii game yaisha kwa sare wengi mtalia hapa
 
Back
Top Bottom