HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
kuna kitu moyoni kinaniambia Japan vs Venezuela, japan anapigwa hii Game..... ngoja niuskize moyo wangu, nampa Venezuela, Please, naomba hii game nife kivyangu, dont follow me
Daaah mkuu, nimepigwa za uso hizo ila matata, mtaji umekatika naanza kula faida
