sergey
JF-Expert Member
- Dec 13, 2012
- 217
- 55
mkuu hapo vfl unachezaga option gan sanasana
Yaan bora mcheze tu kawaida kama mlivyozoea kuliko uko kwenye virtual uko hamna tofaut na zile mbio za mbwa au kernel maana wanachezesha wenyewe kampun ukiweka dau kubwa linamvutia mmiliki kulilamba ilo dau maana ni mech ya dakika mbili tu