mkuu hapo vfl unachezaga option gan sanasana
Yaan bora mcheze tu kawaida kama mlivyozoea kuliko uko kwenye virtual uko hamna tofaut na zile mbio za mbwa au kernel maana wanachezesha wenyewe kampun ukiweka dau kubwa linamvutia mmiliki kulilamba ilo dau maana ni mech ya dakika mbili tu
Yaani hapa umeongea kitu cha maana sana. Wengi hawajui behind the scene ya hizi dog racing, Keno na Virtual football.
Wadau niaje? kwann tusingekuwa tunachambua match hata tano per day wote kwa pamoja tukapata one solution alafu tutakuwa tunacheki kama tumepatia au tumekosa. Ili tuweze kumla kanjibay, umoja ni nguvu wadau
dah, mwanangu mpira hautabiriki kabisa...hata tukiwa 100, sio wote watakubaliana na machaguo mlliopendekeza....na katika hao wachache waliokataa hayo machaguo ya mechi wanaweza wakawa sahihi na kumla hiyo kanjibai...hii sio solution kabisa
South africa, Gabon, angola, Ghana, capeverde, senegal.
Timu nne kati ya hizo ama zaidi lazima zishinde.
South kwa Nigeria hawezi chomoka, weka GG kua salama na pesa yako, hii ndo maana ya jukwaa hili, kupeana ushauri
South africa, Gabon, angola, Ghana, capeverde, senegal.
Timu nne kati ya hizo ama zaidi lazima zishinde.
South anacheza na Niger mkuu sio nigeria
south anacheza na Nigeria mkuu, wamekosea, utaumia vibaya sana, make a research before hujabet....[/QUOTE
Thanks