Mimi siku zote naogopa GG, NG, over, under, red card na yellow. Mie huwa natoa win tu basi
Ndugu nilijua umelala, ungeamka na hasira za kufa mtu kesho..
Odd zake ndogo 1.13 za hakuna red card
Kwisha habari yangu na hako katimu kenyewe goli limerudi dk ya 90.. hahahahahahahaha
Yani kuna katimu nasubiri mpira uishe hapa halafu naona hauishi yani kamefunga goli moja, kakishinda nina kama elfu 48 nimekakuta kwenye live play.
Mkuuu pole sana naona mganga kaanza rudisha yake
Na hasira mbaya na lithuania yani alikua anakosa vikapu kijinga
Yani sahizi nidandia basi hapa sijui ni timu gani zinacheza nimekua moja inaongoza dk ya 69 na odds ni 1.48 nikaipa bila woga yani nahisi nimechanganyikiwa baada ya kupigwa.
Mkuu kama timu inaongoza kwa goli moja usiipe kitu iache kama ilivyo
Sahizi dk ya 90 naomba mpira uishe nirudishe hata nusu ya hela niliyoweka leo.
Kwisha habari yangu na hako katimu kenyewe goli limerudi dk ya 90.. hahahahahahahaha
Ndugu ulipotea kweli nini kilikukuta?
kama kawa ..... tuumizane vichwa nani wa kumtoa kati ya hawa..... wabaki wa5....
Wadau set ya halftime/fulltime ndo ikoje wadau kwenye premierbet
ipo ktk sheet ya longlist
Wadau set ya halftime/fulltime ndo ikoje wadau kwenye premierbet
Hf/ft unatabiri matokeo ya kipindi cha kwanza na cha pili....mfano x/1 inamaanisha kipindi cha kwanza watatoka draw afu kipindi cha pili wa nyumban ashinde
Ndio mkuu
Wadau mbinu za kubet ziko nying sana sema tu kinachowaponza wengi hapa jukwaani ni tamaa ya kula kingi kisichoendana na kile wanachoweka
hivi ukiweka mechi moja kwa option yenye point labda 1.5 ukaweka laki ukala 150000 unadhani ni faida ndogo?
Tubadilike kupata raha ya mchezo huu vinginevyo kilio hakitaisha
Basket niliwahi cheza mara moja na sijui kama nitarudia
Mkuu pole sana.
Leo kuna Monaco ana 3 points. Huyu leo anashinda mie nampa laki afu nalala ili nisije sikia maumivu
Aisee ngoja niangalie kama cjachelewa yani muda huu ndo naanza kuangalia analysis.
Nadhani siku ya jana wahindi wamefurahi sana