meridianbet.co.tz imegoma kufunguka kwangu toka jana.
Leo kuna nini humu??? kumepooza sana aisee kama sio jumamosi vile...
watu tupo na kalkuleta tunapanga maangamizi. Leo mkeka wa mapema city,celtic na chelsea (triple C)
Mkuu city kama cmwamin kivile yule
atawin tu
Mkuu Rock nasoma sana hii mada lakini sielewi,naomba nieleweshe faida yake na jinsi ya kujiunga
Jamani m-bet mbona hawajanirushia mpunga wangu? Daaaa! Inawezekana wamesha fulia nini?
hata mimitoka jana hadi leo na namba yao haipatikani wakati nategemea mtaji wa leo, meridian nayo naona inanidengulia tu hapa
hivi hii GG na NG ndo nini wakuu
Mkuu Rock nasoma sana hii mada lakini sielewi,naomba nieleweshe faida yake na jinsi ya kujiunga
leo 13/09/2014arsenal vs man city draw
crystal palace vs burnley (win crystal palace)
southampton v/s newscaster draw
stoke city v/s leicester city (stoke city) win
elfu kumi inanipa laki 410,000