Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wakuu nimegundua kuicheza online kuna hela nje nje jana nimepiga hela sana yaani timu matokeo yanabadilisha odds wa mwanzo anakiwa wa mwisho wa mwisho anakuwa wa kwanza basi hapo unajikuta umeweka dau kwa woote yaani home, draw ,away unachosubiria ni matokeo tu na faida kwani huna hasara hapo

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 

Yaap kuna hiyo trick pia. Ila inatakiwa uwe na pesa nyingi katika akaunti na pia uwe na internet stable. Maana ukichelewa tuu kidogo, umeliwa.
 
Ntaanza ku iapply hii asee, yan unacheza kabla ya mechi na live
 
Ila inatakiwa uwe na muda wa kutosha ndugu yangu na uwe na bites pembeni manake akili inatumika sn so njaa nje nje

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Sijaielewa vizuri hii trick mkuu naomba nieleweshe tupige pesa sie
 
Ni hivi mfano mechi ya arsenal na man city
Arsenal 2.50
Man city 2.50
Draw 3.0
Una bet kwanza kabla ya mechi unawapa arsenal win kwa laki moja inakuja laki mbili na nusu
Na man city unawapa laki inakuja laki mbili na nusu

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mfano man city ikafunga goli
Arsena anaongezewa odds inakuwa 4.0 badala ya 2.5
Man city anapunguziwa odds inakuwa 1.0 badala ya 2.5
Na ndroo inaongezeka toka 3 na kuwa 4 mpaka 5
Basi we hapo unaenda kwenye droo unaweka mzigo wa laki inakuja laki nne
Mwisho wa siku unakuwa umebet
Arsena win kwa laki ili upate laki mbili na nusu
Man city win kwa laki ili upate laki mbili na nusu
Na droo kwa laki ili upate laki nne
Mwisho mfano ni droo
Unakuwa na laki nne unatoa laki tatu ulizotumia unakuwa umeondoka na laki moja

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 

nishawahi kufikiri hivo, ila inabidi iwe game ya 50/50
 


Mkuu this thing is more risk than you can imagine, trust me..... unaweza poteza laki mbili katika game moja tu, Imagine wakatoa Draw, yaani 0-0 sio Draw ya 1-1......
makampuni ya Betting ni wafanya Biashara kama walivyo watu wengi, na lazima wameshaona kitu kama iko, ndio maana game kama ya Arsenal vs Man city au game yeyote ile ikishafika half time wako 0-0 odds za Draw zinakua 1.7 au 1.5. hapo utafanyaje mkuu? na mda unavyozidi kwenda zinapungu mpaka 1.09......
 

Hahahahahahaha mkuu sasa ulivyotosa hiyo laki baada ya city kutangulia ili kufata hizo nne za draw, city angeshinda sasa si ungekula 250 wakati umeweka zigo la 300, which means hasara ya 50
 
Kucheza online is more risky maana timu ikitangulia odds zinapungua.. Let's say city sikuile alivyofunga 1 odds zilipungua mpaka 1.4 which means mtu kwa mpira ule na akili ya harakaharaka usingefikiria kuweka draw.. Lazima ungetia hata 50 tena umpe city ule hiyo 20. Haya akaja asernal akafunga goli 2 na akawa anakimbiza ile ile.. Odds akawa nazo 1.5, pia hapa ungetaka kurudisha pesa yako uliyompa city. Maana there was no way ungeona kama city ataridisha kwa mpira ule. Unaweka laki 2 ili ule hiyo moja at least ulinde mtaji. Mwisho Wa siku game suluhu huku ushapoteza pesa ndefu
 

online ndo kuna hela. Mfano jumamosi game ya chelsea alikua na odds ya 1.27 lakini alipopigwa bao kitu kikapanda hadi 2.85 katika dakika 40, mi nakaweka msimbazi dk ya 41. Kadhalika na game ya barca nayo niliipandilia haftime. Uzuri wa online mkubwa aanze kufungwa tu, lakini sometime inabuma kama game ya liva.
 

Umeona eeehh hiyo nayo ni kamari tu kuna kupata na kukosa.. Kuna mchizi wangu baada ya kufungwa liver odds zilipanda sana.. Akatia 70 ikapasuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…