Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

mkuu basket unacheza site gani?
meridibet au ?
unacheza in play au before kickoff??

Nacheza meridian, inplay i.e live betting. Sema meridian baadhi ya mechi hasa za kirafiki hawawekagi katika time table. So ni kuziotea tuu. Mimi nazifumaga kuanzia saa 7 mchana, saa 10 Jioni, 12 Jioni ,1,2,3 na 4 Usiku. Hizi ndio ratiba zake mostly kama inavyoonekana katika mikeka hapa chini. So far hizi nimecheza leo na ndio faida ya leo.
 

Attachments

  • 1411339577148.jpg
    24.6 KB · Views: 100
  • 1411339594269.jpg
    24.7 KB · Views: 97
  • 1411339621256.jpg
    24.4 KB · Views: 96
  • 1411339646487.jpg
    24.5 KB · Views: 91
Nacheza meridian, inplay i.e live betting. Sema meridian baadhi ya mechi hasa za kirafiki hawawekagi katika time table.
mkuu nimekupata, hivyo kila siku match hata moja ya basket si haikosekani? poa nitajaribu kuicheza nimeisoma nimeielewa.
 
mkuu nimekupata, hivyo kila siku match hata moja ya basket si haikosekani? poa nitajaribu kuicheza nimeisoma nimeielewa.

Yap, wewe cheki hiyo mida, mechi hata moja lazima iwekwe online. Sema katika kubet kwa ligi na timu zisizoeleweka just time pale mwanzoni mwa match, mara nyingi pale OU huwa kati ya 150 na 160 so ukitime unaweka under halafu unasikilizia na kukomaa nayo hiyo first quater. Mara nyingi sana kwa vitimu visivyoeleweka mpaka first quater inaisha huwa OU range inakuwa imeshuka. So unaanza kuwa Safe kiaina. Mpaka mwisho ndio inakuwa hivyo.
 

handcap ipo hivi yani timu inayoonekana dhaifu hupewa goli. Kama jana mancity na chelsea, chelsea alipewa goli. Point zilikua 4.0,3.90, 1.45 kwa maana hyo mancity angeshnda kwa tofauti ya goli 2 na kuendelea ingekua 4.0 kama angeshnda kwa tofauti ya goli moja tu ingekua cap draw 3.90. Na option ya 1.45 ni kama chelsea ashinde au adraw.
 
Yani mi kila wiki nlikiwa nshatengeneza kaji formula cha kumuotea kwenye handi cap...ila wiki iliopita na hii wiki kanipiga za uso

mkuu nifundishe kidogo kuhusu handicap...naona manyota tuuuu...jana red card ya zabaleta imenikosesha 84000, daaaah
 
Leo dynamo kiv,PAOk na BATE...cape kipind cha kwanza mega mix

ongezea beskitas, wigan, valencia

PAOK wapo vziuri najiuliza why kapewa odd kubwa sijapata jibu, nikiangalia hajawah kuifunga panaitolikis uwanja wake wa nyumbani,
 
Wiki tatu mfululizo nimeliwa ...MAUMIVU dot COM
Kafara ya wiki EPL imetolewa na Everton3-2==>Liverpool3-1==>Man u 5-3
 
Wazee wa kubet hebu jaribuni hii hafu mlete mrejesho hapa Live in-play:

Steps: 1. Ikiwa game iko live dakika kama ya 68-74 ukikuta odds kwa "exact score" ziko 1.3 to 15, likely hood ya magoli mawili kuingia sio kubwa sana, so fanya chaguzi 2, ya kwanza chukua ile ambayo ni existing kama ni 0:0, au 1:0 au 1:1, imediately chukua ambayo inaongeza goli kwa yule mwenye odd ndogo, na hakikisha umebalancisha maximum payout.

Eg: Yanga vs Mtibwa, winning odds ni 1.23 kwa 15 game iko dakika ya 69 na matokeo ni 0-0 kwa muda huo, kunakuwa na selections zifuatazo kwenye exact score;-

0:0 odd 2.85
1:0 odd 3.10
1:1 odd 5
0:1 odd 12

Kwenye hizo odds, Yanga ni stronger, kwa dakika zilizobaki ni either matokeo yabaki hivyo au Yanga afunge goli.

Ukiweka 10,000 kwenye 0:0 unapata 28,500
Ukiweka 9,200 kwenye 1:0 unapata 28,520

Matokeo yakiwa mojawapo kati ya hayo juu unakuwa umetumia sh 19,200 na unakula 28,500. So faida ni kama sh 9,300 ambayo ni almost 48%.

Angalizo: Exact scores ni very risk kubet, i.e Yanga inaweza kuizidia Mtibwa kwa kuipiga goli 2 za fasta, au Mtibwa ikaiangukia Yanga goli moja tu na ukawa umepoteza.

Fanya majaribio kwa kubet sh 300 mara nyingi uwezavyo ili ucalculate probability ya kupata na kukosea.
 
Kuna watu wana roho ngumu.
 

Attachments

  • 1411410638803.jpg
    72 KB · Views: 107
Yaliyompata mamba hata kenge pia yatamkuta. Leo nimepigwa za uso mpaaka nikachanganyikiwa, mpaka saa moja nilikuwa nishapigwa laki na thelathini na akaunti ikabaki na 40000 tuu toka 170000.

Ikanibidi nikavute castle lager baridiii niingie mzigoni kama nilivyo na buku 40 yangu kupambana kurejesha pesa yangu. Huku na huku nikapambana na kuranikiwa kurejesha laki na kumi. Now nimekubali matokeo naenda kulala. Kesho bepari ananisubiria mzigoni.

Huyu kanjibai tutaonana kesho. Leo kanipa hasara ya buku 30
 
Wakuu yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Kwa wale wa meridian katika major leagues tayari wameshaactivate option ya redcards na penalty. Ligi za france, italy, Hispania na Bundesliga tayari option za red card wameshaziweka. Kazi ni kwetu kutandika mikeka.

Mimi tayari nishatandika mkeka wangu
 

Weka tuuone tuangalie inakuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…