Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

wazee wenzangu nisaidien tena sehemu ya mwisho meridian. kwenye kutoa hela ndio unaenda kwenye account kisha payment type betshop kisha unachagua mpesa. ndio hivyo au nimebugi step?
 
wazee wenzangu nisaidien tena sehemu ya mwisho meridian. kwenye kutoa hela ndio unaenda kwenye account kisha payment type betshop kisha unachagua mpesa. ndio hivyo au nimebugi step?

hapana mkuu,nenda on your A/c then click on Deposit/withdrawal kwa chini left hand utakuta kijibox "money amount" weka kiac then select payout type
 
mechi za Jana kulikua hakuna redcard so nahisi wote tulio weka no red card tumekula mpunga
 
hapana mkuu,nenda on your A/c then click on Deposit/withdrawal kwa chini left hand utakuta kijibox "money amount" weka kiac then select payout type

Kwangu nme download vizuri app yake ya android nmejiunga vizuri ilatatizo ku log in. Nabet vizuri mkeka unakuja lakini nikifikia ku confirm bet natakiwa ni log in nakwama. Sijui tatizo nn have tried several times
 
asante sana Valencia,PSV,Espanyol na Twente kwa kutoa normal na handcap kwa pamoja.
 
le havre droo,nancy win,laval loose,niort droo,Ac Ajjacio win,Niort droo...fanya ivi upige Mtonyo.
 
aaah..., Meidian wanaboa sasa.....ngoja tusikilizie baadae maana zamani alhamis jioni tu, kitu tayari....ishu nahofia kubet wikiend...server zao huwa zipo down sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…