Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Huo natupia m pesa naweka another
 

Attachments

  • 1411727153608.jpg
    1411727153608.jpg
    55.8 KB · Views: 123
wazee wa kilingeni huu umekaaje aisee?
 

Attachments

  • 1411734858416.jpg
    1411734858416.jpg
    48.9 KB · Views: 95
wazee wenzangu wa kijiwe cha kubet nataka nitoe ushauri "WIKI HII TUWE MAKINI NA TIMU KUBWA (POWER LEAGUES) ZINAWEZA KUCHANA MIKEKA SABABU TAREHE 30 NA TAREHE 02 OCTOBER NI UEFA $ UEROPA LEAGUES ZINAENDELEA".
 
Wazee wenzangu wa kilingeni ni habari nzuri na mbaya.
Red card na penalty zimerudishwa.
Lakini points zimeminywa.

CHANGAMKIENI FURSA FASTA kabla mtandao haujaanza kuganda..,,
 
Wazee wenzangu wa kilingeni ni habari nzuri na mbaya.
Red card na penalty zimerudishwa.
Lakini points zimeminywa.

CHANGAMKIENI FURSA FASTA kabla mtandao haujaanza kuganda..,,

teh teh jamaa washastukia kuwa wanaliwa ktk options hizo.
 
Wazee wenzangu wa kilingeni ni habari nzuri na mbaya.
Red card na penalty zimerudishwa.
Lakini points zimeminywa.

CHANGAMKIENI FURSA FASTA kabla mtandao haujaanza kuganda..,,

Hahaha yani hapa mtandao naona kaanza kuuminya ni mwendo wa kobe
 
Meridian wapo vizuri sana aisee. I salute them, yaani hela unaipata kweli within 24 hours. na unapewa ya kutolea kabisa! BIG UP MERIDIAN!!
 
Back
Top Bottom