Entreprenegro
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 601
- 132
Huo natupia m pesa naweka another
bado mnamwamini napoli?
Huo natupia m pesa naweka another
mie nasubiri kesho
Huo natupia m pesa naweka another
wazee wa kilingeni huu umekaaje aisee?
wazee wa kilingeni huu umekaaje aisee?[/QUOTE
huo unaweza kula mkuu
wazee wa kilingeni huu umekaaje aisee?
Wazee wenzangu wa kilingeni ni habari nzuri na mbaya.
Red card na penalty zimerudishwa.
Lakini points zimeminywa.
CHANGAMKIENI FURSA FASTA kabla mtandao haujaanza kuganda..,,
wazee wa kilingeni huu umekaaje aisee?
Wazee wenzangu wa kilingeni ni habari nzuri na mbaya.
Red card na penalty zimerudishwa.
Lakini points zimeminywa.
CHANGAMKIENI FURSA FASTA kabla mtandao haujaanza kuganda..,,
Hahaha yani hapa mtandao naona kaanza kuuminya ni mwendo wa kobe
Meridian wapo vizuri sana aisee. I salute them, yaani hela unaipata kweli within 24 hours. na unapewa ya kutolea kabisa! BIG UP MERIDIAN!!