Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,445
- Thread starter
-
- #4,981
Arsenal goals 2+,liva 2+ goals, city 2+ goals,
Arsenal goals 2+,liva 2+ goals, city 2+ goals,
umesoma ngapi kwa ngapi huo??
Wakuu hii half looser ndo nini ?
Kuna matumaini au ndo kutiana moyo
Manake na mikeka mitatu half looser
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Halafu naitaji msaada kwa wastani mechi huwa ina kona ngapi na yellow card ngap nataka nihamie kwenye option hizi naona zina odds nzuri tu
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Mkuu mimi natumia simu aina ya Nokia Lumia 510, je hiyo meridian inapatikana kwenye apps gani?Karibuni tuinvest katika soko la hisa la betting... Iwe meridian,m-bet,ladbrokerz, iplay8casino n.k. Kwa m-bet voda ni *149*19#. Kwa meridian online ingia www.meridian.co.tz then jaza fom yao halafu watakutumia link katika e-mail yako ili kuactivate account yako, ukishafungua hiyo link ndo tayari ushajiunga. Ukitaka kudeposit au kuwithidraw mzigo kwa meridian njia ya m-pesa chek page namba 205 ktk thread hii.
Mkuu mimi natumia simu aina ya Nokia Lumia 510, je hiyo meridian inapatikana kwenye apps gani?