CEO umeona habari ya Ronaldo! By the way nilifata ushauri wako sikuweka kitu ila jamaa kapiga goli dkk za majeruhi.
Kila alie copy na kupaste huu mkeka ana zaidi ya 78% ya kuliwa
Football inalipa kama utakuwa hauna tamaaa
Na uwe unabet kwanzia 50,000 kuendelea
HII NI MBINU NNAYO ITUMIA MIMI KUMLA KANJIBAH WA MERIDIAN
HUWA NABET live NA before match start
NA HUWA NA BET MATCH 1
NA NIKIZIDISHA NI MBILI AU TATU MARA CHACHE IKITOKEA
HUWA NATUMIA....MBINU YA
(half with more goals) KWENYE GAME ZA live
NA HUWA NATUMIA MBINU YA (home team win both halves HW2... or ... away team wins both halves AW2) hii huwaga ina zaidi ya 2.50 kuendelea SO HUWA NIKIWEKA LAKI OR HAMSINI HUWA NATEGEMEA MKWANJA WA LAZIMA NIPATE
NA UKWELI NI KWAMBA SIKU AMBAZO SI MLI HUYU MDOSI NI CHACHE SANA KULIKO NAZO MLA
FUNGUKAA FUTBOL INALIPA KULIKO KIKAPU
KWA SABABU PRESHA YA KUSUBIRI MATOKEO NI ILE ILE
HAKUNA URAHISI KWENYE KUBASHIRI SPORTS
Umesomeka vilivyo mzee, ila hii biashara inabidi uwe vizuri nyanja tofauti tofauti.
Football inalipa kama utakuwa hauna tamaaa
Na uwe unabet kwanzia 50,000 kuendelea
HII NI MBINU NNAYO ITUMIA MIMI KUMLA KANJIBAH WA MERIDIAN
HUWA NABET live NA before match start
NA HUWA NA BET MATCH 1
NA NIKIZIDISHA NI MBILI AU TATU MARA CHACHE IKITOKEA
HUWA NATUMIA....MBINU YA
(half with more goals) KWENYE GAME ZA live
NA HUWA NATUMIA MBINU YA (home team win both halves HW2... or ... away team wins both halves AW2) hii huwaga ina zaidi ya 2.50 kuendelea SO HUWA NIKIWEKA LAKI OR HAMSINI HUWA NATEGEMEA MKWANJA WA LAZIMA NIPATE
NA UKWELI NI KWAMBA SIKU AMBAZO SI MLI HUYU MDOSI NI CHACHE SANA KULIKO NAZO MLA
FUNGUKAA👀👀👀👀👂👂 FUTBOL INALIPA KULIKO KIKAPU
KWA SABABU PRESHA YA KUSUBIRI MATOKEO NI ILE ILE
HAKUNA URAHISI KWENYE KUBASHIRI SPORTS
Dahhhhh itabidi niwe nafwatilia kikapu
Ila mshika mawili moja humponyoka........?
Nop we laki tano toka jumamosi
Mi jana tuu asubuhi 150
Mcha 104 saa kumi na moja 201 usiku nikapigwa 50
FUTBOL INALIPA KWA MBINU ZANGU
POINT NI 2.50 KUENDELEA
Leo kuna
rijieka
Videoton
Goyr
Nk wapo kazin kukupati hela kiulaini........
Naaanza na game ya anzhi saa nne asubuhi
Haahaahaa..! Kama professional player vile, inatakiwa upige miguu yote plus kichwa nk.
Kupitia betting nimejifunza michezo kama Tennis, Basket, volleyball, Chess. Na nina mpango wa kujifunza NFL na Baseball maana naona huku pesa ndio ipo.
@xzy123 jana asubuhi nlitoa tip ya 150 kwa 50 ukaidharau
Mchana nikatoa tip ya brazil ya 104 kwa 30 ukaMUTE
Jioni sikutaka kutoa tip ya Uzbekistan ya 201 kwa 25
Hahahahahhahaha unataka upeweje hela
Acha kutanga tanga na ndio maana jana nliomba watu wanaojiamini kwenye futbol 150 tutengeneze group kwenye whatsapp or telegram mkadharau
@xzy123 jana asubuhi nlitoa tip ya 150 kwa 50 ukaidharau
Mchana nikatoa tip ya brazil ya 104 kwa 30 ukaMUTE
Jioni sikutaka kutoa tip ya Uzbekistan ya 201 kwa 25
Hahahahahhahaha unataka upeweje hela
Acha kutanga tanga na ndio maana jana nliomba watu wanaojiamini kwenye futbol 150 tutengeneze group kwenye whatsapp or telegram mkadharau
Ndio niko natafakari game ya anzhi