Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

hv mkuu andybird314 ww kila siku unakula cc kwetu vilio dooh au ndo unacheza na akina pweza watabir

Hahahah mkuu namshukuru Mungu kila weekend atleast napata above 100$. Leo nataka 300$ tu
Mi nacheza online tuu mikeka inanichomesha sana kama Mancity leo kaua mikeka yangu kama 2
 
Last edited by a moderator:
basket inanitoa sana....nimehama kabisa kwenye football....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…