Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wazee wenzangu nimekuja na njia nyingine ambayo haiitaji ufundi wala research..,, We chagua tu timu zozote zile weka double chance wafungane (1or 2) basi sikilizia matokeo..,, NIMEJARIBU NA SITOIKATIA TAMAA IKIFELI LEO DAY ONE..,,
 

Attachments

  • 1414514288928.jpg
    1414514288928.jpg
    59.9 KB · Views: 124
Wazee wenzangu nimekuja na njia nyingine ambayo haiitaji ufundi wala research..,, We chagua tu timu zozote zile weka double chance wafungane (1or 2) basi sikilizia matokeo..,, NIMEJARIBU NA SITOIKATIA TAMAA IKIFELI LEO DAY ONE..,,

Bado sjaelewa mkuu hii ni ile double chance ya kawaida ama?
 
Mainvesta mi sahivi nadili sana na option mbili. Ya kwanza nachagua tim zenye uwezo kama 4 mfano chelsea,man city,barca,madrid. Nazipa goals 1+ ikisoma odds 2 tu naweka mpunga wa kutosha.. Option ya 2 ninacheza 1st half 2+ hapa odds huwa nying sana sometime had 3 zinafika kwa game 1. Hii option huwa nadili sana na game za uholanzi coz wale jamaa wanacheza kwa falsafa ya total footbal na tik taka hivyo game inakua na chance kubwa ya magoli mengi kutokea.
 
Mainvesta mi sahivi nadili sana na option mbili. Ya kwanza nachagua tim zenye uwezo kama 4 mfano chelsea,man city,barca,madrid. Nazipa goals 1+ ikisoma odds 2 tu naweka mpunga wa kutosha.. Option ya 2 ninacheza 1st half 2+ hapa odds huwa nying sana sometime had 3 zinafika kwa game 1. Hii option huwa nadili sana na game za uholanzi coz wale jamaa wanacheza kwa falsafa ya total footbal na tik taka hivyo game inakua na chance kubwa ya magoli mengi kutokea.

mkuu umetisha...
 
Mainvesta mi sahivi nadili sana na option mbili. Ya kwanza nachagua tim zenye uwezo kama 4 mfano chelsea,man city,barca,madrid. Nazipa goals 1+ ikisoma odds 2 tu naweka mpunga wa kutosha.. Option ya 2 ninacheza 1st half 2+ hapa odds huwa nying sana sometime had 3 zinafika kwa game 1. Hii option huwa nadili sana na game za uholanzi coz wale jamaa wanacheza kwa falsafa ya total footbal na tik taka hivyo game inakua na chance kubwa ya magoli mengi kutokea.

Hiyo ya kwanza ni bonge la option, ila mpaka ufike odd 2 inabidi ziwe kama saba hivi, maana odds ni 1.06
 
Siamini bado
Yaaani leo siku ya nne mfululizo na mla kanjibah wa meridia
 

Attachments

  • 1414521929098.jpg
    1414521929098.jpg
    69.7 KB · Views: 115
jamani najaribu kulog in kwny akaunti ya meridian baada ya kujiunga wananiambia player not found tatizo nini hapa wakuu
 
fulham bonge la kimeo!!kweli betting ngumu...leo hata ucngz ni shidah.
 
Back
Top Bottom