Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

chicago wapo fit sahivi. Labda jaribu under/over ila sijajua odds za over

Game imedraw, asante kwa kunipa tahadhari.

Cleveland ameshinda baada ya overtime ambapo haiwi considered for Bet purposes, labda uchague kipengele hiko cha win ot included.

Thanks man.
 
Ambae jana hajala toka kwa ligue 2 ya france nampa pole aisee jana ilikuwa siku nzuri ingawa Monaco kahari mambo mengi sana jana leo ningeamka mtu mwingine kabisa ai yule wa siku zote
 
Game imedraw, asante kwa kunipa tahadhari.

Cleveland ameshinda baada ya overtime ambapo haiwi considered for Bet purposes, labda uchague kipengele hiko cha win ot included.

Thanks man.

aisee basket kutoa draw ni ngumu nadhani hapo makampuni ya beting yamefurahi sana
 
Ambae jana hajala toka kwa ligue 2 ya france nampa pole aisee jana ilikuwa siku nzuri ingawa Monaco kahari mambo mengi sana jana leo ningeamka mtu mwingine kabisa ai yule wa siku zote

kweli kabisa jana france league 2 ilikua wazi sana
 
Huu hapa
 

Attachments

  • 1414822148197.jpg
    1414822148197.jpg
    56.4 KB · Views: 105
Mkuu leta upepo wa leo

leo game za GG : everton v swansea,stoke city v westham, newcastle v liverpool... Game za ushindi mpe everton, mainz,bristol,watfod,wolves... Halafu game ya psv,arsenal,chelsea,madrid,ajax weka option ya 1st half 2+
 
leo game za GG : everton v swansea,stoke city v westham, newcastle v liverpool... Game za ushindi mpe everton, mainz,bristol,watfod,wolves... Halafu game ya psv,arsenal,chelsea,madrid,ajax weka option ya 1st half 2+

Huu wako uko poa naukop
 
Chaji imekata ngoja niweke kwa chaji, tutakutana mida
 
Meridian ni wezi.. Jamani kama unacheza mikeka ya pesa nyingi achaneni na meridian.. Nimewithdraw pesa kwenye account yao tangia alhamisi mpaka leo sijaiona. Nawapigia simu Mpesa na Meridian wananipiga danadana tu
 
Meridian ni wezi.. Jamani kama unacheza mikeka ya pesa nyingi achaneni na meridian.. Nimewithdraw pesa kwenye account yao tangia alhamisi mpaka leo sijaiona. Nawapigia simu Mpesa na Meridian wananipiga danadana tu

Ilikuwa sh.ngap mkuu?? Minlichukua laki tatu jumatatu bila shida
 
Back
Top Bottom