Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

asante mkuu, wamesema wanaishughulikia. Vipi pambano lako na muhindi hadi sasa nani ana ahueni??

Ha ha ha! Bado ndo kwanza najipanga nizisome game za NBA vizuri, niko determined kishinda. Zile alizokula ni tuition fee, nikishaelewa atanijua tu.

Ila kamali ni mbaya jamani duh! Ukila huridhiki, unazidi kuona kwamba unaweza kula zaidi kumbe ndo zinaondoka ulizokula.
 
hahahaha unakula laki leo, unaongeza dau kesho unapigwa laki na 20, unaanza upya tena.. Kamari haifai, ni ubishi tu
 
Leo nafunga macho natupa laki kwa Liverpool, biashara ikiwa nzuri nadouble mzigo
 
Hii yangu leo
 

Attachments

  • 1414848132444.jpg
    58.9 KB · Views: 109
Mkuu Newcastle anataka kuharibu sherehe!

Hapa ndio napomkumbuka mwalimu wangu wa Physics form two.. Word done=0, yani nilianza na mtaji wa 15 jumatatu mpaka jana ulizaa laki na 13.. Leo kachukua laki yake yote..
 
Hapa ndio napomkumbuka mwalimu wangu wa Physics form two.. Word done=0, yani nilianza na mtaji wa 15 jumatatu mpaka jana ulizaa laki na 13.. Leo kachukua laki yake yote..

Hawa jamaa wanatushinda kwa sababu ya uroho, tukila kiasi tunawaza kupata nyingi zaidi kwa kuweka zote.

Inabidi kuww na mtaji maalum ambao unakuwa unaumantain, ambao hutakiwi kuuongeza ovyo ovyo, tena kuuongeza inabidi hela itoke kwenye faida sio mfukoni.
 
Usipokuwa na tamaa yani unaweza faidika sasa unakuta mtu anatoka kuweka mkeka wa 1000 hadi 10000 kisa tu alipiga pesa ndefu siwezi aisee hata pesa iwe tamu vipi
 
nataka niweke cap kwa atletico na bayern vp hapo wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…