Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo


Sijui umebet kampuni gani....ila kama ni muhindi premier betting sheria zake ziko wazi kabisa..hata kwenye karatasi wamekuandikia ubashiri wowote utaishia dakika ya 90 tu....mara nyingi tu nshakosa pesa kwa dizaini iyo so hapo ni kama unasubiri boti stendi ya ubungo
 


Kibanga unatumia kampuni gani kubet? Hawa Primier Betting ni dakika 90 tu na jana Braga ndani ya dakika 90 mechi ilikuwa na moja kwa moja
 

Mambo ya kukimbizana vibandani ya nini? Mimi napiga M-Bet. Kitu kwenye simu online.
 
M bet na premier bet sio kitu kimoja???...nadhani ndo hao hao angalia sheria kwenye menu yako


CONFIRMED NIMEPOTEZA.

Nimewapigia simu na wamenieleza kuwa wanatumia dakika 90 tu, nasio muda wanyongeza, sikulijua hili.

wamenipiga 20, hope leo nitalipiza.
 
Wadau leo nime nimempa espanyol,vittesse,rangers na kasimpasa kwa buku 10 nakula buku 36

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Vipi leo hamna mikeka mbona kimya

kwamaatzamo wangu an uchambuzi nilio ufanya kw amuda kama wa masaa 2 nikuwa mechi za uwakika leo ni:-

Kasmpas,Vitesse,rangers na Velez.
Mechi nyingine zisizo na uwakika mkubwa za ushindi ni Estuduante,espanyol,Momcherburg,Ettiene. Hizi cheza at ur own risk lakini kuna asilimia kama 60 za ushindi.
 
Kasmpasa,vitese, espanyol. Tupate mpunga wa galatasaray,madrid,leicester city, barca na man city kesho
 
walinirudishia kweli mkuu,hivi namba yao ya huduma ni ngapi nilitumia 300300 ikagoma.msg yao wanaandika namba ya

huduma 30 inagoma wanasema inabidi ziwe 4 kundelea nadhani hapo ndy nilikosea!..
itakua ulikosea namba ya risiti. Mbona kawaida tu inatokea mtu kukosea na kesho yake wanakurudishia hela yako
 
Narudia tena hakikisha nyumbani umeacha hela ya chakula na usile mtaji he he he
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…