Naelekea kwa mhindi na pick up.. hehehehheehe
Hiv ndivyo arsenal alivyo niuwaa
Pole sana mkuu mimi arsenal kaninyima 160000 hivi hivi
Saa nyingine sijui huwaga Mungu hapendi tupige pesa. 90% ya waliobet jana ulimwenguni aseno kawauwa
psg chelsea buyern barca shakter zote 3+.... leo
hatari sana mkuuu..... nakuwaga bize mpaka ofisini wanashangaaa...... kila nikimsachi nauliwa na timu moja ..... sijui nipumzike kwa mda....naona kama napanic....kwa mara ya kwanza namaliza mwezi sijamla.......Mkuu leo nakufuata ingawaje mikeka yako inakuwaga lazima kuna timu 1 inatibua. Hafu umeona basket jamaa wote wamepiga under isipokuwa Lakers tu,
Jana bet companies zimeingiza faida sana. Hadi leo naogopa hata kujaribu
Hii Iitafaki itabidi izingatiwe maake ni hatari sanaaMkuu leo tubet kwa macho tu
Hiv ndivyo arsenal alivyo niuwaa
ila fulham....basi tu acha akanipe ukimwi....... blackpool hajawahi shinda away game 7 kasare 2 kapigwa 5... kafunga goli 4 kafungwa 11 ...fulham home kacheza 7 kshinda 3 kasare 1 kafungwa 3 ..... kafunga goli 9 kafungwa 4..... wamekutana mara 4 fulham kashinda moja tatu zote sare..... hakuna mechi ambayo haijatoa 2+………
Barca hata mimi siwaamini aiseeemkuu huyo fulham ungempa GG..Pia hisia zinanijia barca atachana mikeka ya watu leo....yaniiiii roho yangu inakataa kabisaaaaa kumpa barca