Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kama unataka postal code weka 42 kisha endelea na mchakato.
NB:Hasa kama uko Dar
 
jamani wazoefu wa meridian nataka kujua iwapo umebet kwa kutumia bonus account ukapiga mzigo wa maana inawezekana kuutoa kama inavyokua kwenye standard account
 

sioni tusi linalokutosha wewe fiola wa italy...ndo maana soka lenu linazidi kudidimia kwa kuendekeza ngono.....nyambafu kabisa
 
niliweka mechi za jana zote 2+ kaua dinamo moscow.... wa normal kaua torino .....mamaae
 
jamani wazoefu wa meridian nataka kujua iwapo umebet kwa kutumia bonus account ukapiga mzigo wa maana inawezekana kuutoa kama inavyokua kwenye standard account

Yeah mzigo unatoa kama kawaida
 
Mambo ya cash in yamenikosesha mkwanja wa maana Jana,instead ya kulamba £40 nimeambulia £11
 

Attachments

  • 1415342062378.jpg
    78.3 KB · Views: 120
Daaah na mimi leo naenda ku prove ueropa oyeeeeee nimepata mtaji wa weekend
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…