Nimejaribu kuregister imeshindikana kwa sababu kuna charge, vipi unaweza kuona tips bila malipo kweli? Na kuhusu kulipa ni ipi njia rahisi ya kulipa.
Sounds like fun. Mwalimu sasa wa kunielekeza!
Nimejaribu kuregister imeshindikana kwa sababu kuna charge, vipi unaweza kuona tips bila malipo kweli? Na kuhusu kulipa ni ipi njia rahisi ya kulipa.
yan kuangalia tips tu unalipia?! duh! ni sh ngap mana unaeza ukalipia af ukabet ukapgwa za uso
Mimi natumia account ya rafiki yangu fulani. Nitakuwa naweka mikeka kama ilivyo kutoka huko footballacca.
Kujiunga jamaa alitumia paypal kuweka hiyo annual fee ya 9.9 pounds
yan kuangalia tips tu unalipia?! duh! ni sh ngap mana unaeza ukalipia af ukabet ukapgwa za uso
Sounds like fun. Mwalimu sasa wa kunielekeza!
hahaaasounds like bt ts business lov,,maticha wako weng tuu kina Rockcity native [MENTION=16071]Raimundo[/MENTION] Andybird na wengne shazi tuu ila inabd uwe na moyo wa kiume
zngoja nisome kidogo nipate drift
yan kuangalia tips tu unalipia?! duh! ni sh ngap mana unaeza ukalipia af ukabet ukapgwa za uso
Hao watu ni experts, wanatumia muda wao kuzisoma hizo timu. By the way, sio guarantee, ni at your own risk.
Fanya hivyo mwana, maana nimeona twitter watu kibao wanashuhudia positively!
sometyme hao jamaa wanakua wanajua michongo ya game ambazo zimeuzwa kwahyo ni bora kuwafatilia.
Ni experts kabisa ndio maana unalipia na ukishindwa shinda the first time you bet wanarudisha hela yako via paypal
Twitter unakuta ni screenshots za walioshinda na unakuta wengi wametumia hao accas
Yeah sometimes huwa nashangaa mtu anakuwekea mkeka wa points 45 wewr tu kuweka hela zako
Uzuri wa hawa wao hawatumii computer generated tips kama accas wengine. Hawa wao wanatumia experts wao.
Leo nitaweka mikeka ya hawa watu.
Ningekuwa na moyo ningetoa username na password yakutumia huko footballacca ila..........
Ni experts kabisa ndio maana unalipia na ukishindwa shinda the first time you bet wanarudisha hela yako via paypal
Twitter unakuta ni screenshots za walioshinda na unakuta wengi wametumia hao accas
Yeah sometimes huwa nashangaa mtu anakuwekea mkeka wa points 45 wewr tu kuweka hela zako
Uzuri wa hawa wao hawatumii computer generated tips kama accas wengine. Hawa wao wanatumia experts wao.
Leo nitaweka mikeka ya hawa watu.
Ningekuwa na moyo ningetoa username na password yakutumia hill footballacca ila..........
andybird314 fanya hivyo ndugu weka mikeka humu,,.. si unajua tunapigana against adui mmoja..,,
CEO nimechek hiyo web,jamaa walitabiri fresh game ya arsenal vs Swansea na stoke vs tothm
adui yetu ni mmoja
nimeshajiweka pale meridian