Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
barnet kauza aisee
Nitaweka za leo ikifika saa Tisa na Usiku nitaeka maana wanaweka mara mbili kwa siku.
Walikosea kwenye game ya under
uhakika nijilipue? Vp under nayo
game ya lakers sawa under coz katika game zao 5 zilizopita moja tu wamefikia hizo point.... ila milwaukee bana hatihati kuwa under..... h2h zao tano zilizopita mbili wamefikisha 186 na 184 ukicheki hapo ni mtupo mmoja wa 3 point wanafika.... game 2 wamevuka kabisaaa wamefika 208 na 218 ....ni game moja tu ndio walikuwa chini kabisa walipata 178.... sooo pima upepo wao wa karibuni....
Mi nna moyo wa mshumaa
Kwa wale wa football nimewapa mbinu
Moja wapo ya zile nizitumiazo.....
♢1♢ unaweka mzigo kwenye
GG first half
♢2♢ kisha unakuja unaweka mpunga
Kwenye GG second half
Hakikisha unabalance pesa ili kuleta faida sawa
Hebu ngoja nifatane na wewe, nikila nakurushia vocha.
Hili jambo la msingi sana hivi vitu vinahitaji akili wengi wetu tunakurupuka tu.TUMIA AKILI KUPATA KILE UTAKACHO
MALENGO YAKO UTAYAPATA KWA AKILI
UTAJIRI SIO BAHATI NI AKILI
MAFANIKIO YEYOTE NI AKILI
weka hilo kichwani
Panasomeka kama ukipasoma na kuacha papara za kutamani
Tusibeti kwa tamaa ya point na pesa ndefu
Tutumie akili......na ushirikiano na sio kutegea flani akitoa tip zake na wewe uangukie huko
Tushirikiane kumla huyu muhindi na tuache pang'ang'a mingi na kuoneana wivu
Umoja ni Nguvu
Kwa hawa wanaomiliki betting companies ni mama zetu
Tuacheni Ubinafsi na kutegeana
Mbona wazungu hawapo kama sisi
Wanashirikiana kwenye ma websites
lakers eti leo wamefikisha 200....duh.....kamali jamani iacheni tu,
milwaukee 85 - okc 78
lakers 102 - memphis 107:
Umdhaniae ndiye kumbe siye!