raimundo hivi handcap ya basket inakuaje
Ni kama ya mpira tu,
Mfano leo game ya Houston na Philadelphia, Houston win ina odd ya 1.03, so ukienda kwenye handcap utakuta kuna -18.5, ina maana ukimpa Houston win with handicap ni lazima amzidi Phil pint 19 na kuendelea.
Kama point difference ikiwa 18 and below basi Phil anakuwa ameshinda.
du! Kwa mziki wa NBA navoujua handcap ni ngum sana
Kuna timu ziko weak, hazina wafungaji. Mfano hiyo Philadelphia kila mtu anaifunga kwa difference ya points nyingi, unaweza kucheki statistics espn.com.
Na pia OKC kipindi wako na KD na Westbrook walikuwa wanazifunga timu kibao kwa difference kubwa.
NB: Kamali ni kamali, chochote kinaweza kutokea.
hahahah siku hasheem akianza naweka handcap
Hasheem aanze wapi? Jamaa yuko kitaa anatafuta timu.
si nasikia anataka kwenda europe
Akili tu, no many teams.
Na pesa inaingia.
Mechi ya saa tano itakuwa ishaisha mkuu,
Naona team ya kwanza tu ishararua mkeka wako,. Pole sana
Hii ndo betting bhana timu unaipa cap yenyewe ndo inapigwa cap, unaweza ukajinyonga yani.
Ntaomba mrejesho wa huu mkeka wako .
Amkeni muanze kubet kuna Match za saa 07:00 na 8:00 kama kumi na mbili ivi
Poa elewa timu za Japan div 2
Huwa zinafunganaga kipindi cha pili
So we bet 28+