Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

22:15 River Plate – Olimpo 1
18:00 Avellino – Vicenza 1
 
Kila nikifungua JF, thread yenye viewers wengi ni hii "
[h=3]Wazee wenzangu wa kuweka mzigo (kubet)"[/h]na ninavyojua, the more people visit a thred ni kwasababu wako n interest hapo, ina maana Betting ina washabiki wengi kuliko siasa, hoja za nchi yetu, elimu nk? au ni ukilaza wa wabongo wanaapenda vya kuotea na kubet kuliko kujitafutia???
 

hapa nimetoka kapa ngoja waje na wengine
 
Huyu mleta mada ndo anahakisi akili matope za watanzania walio wengi. Kutwa kulalamikia wanasiasa wawaletee maisha bora wakati wao wanashinda vijiweni.

Mkuu hata hapa jamii forum ni sawa na kijiweni endapo utashinda kutwa nzima kwenye majukwaa ya siasa na MMU. Kwani story nyingi za hapa jf ndo hizohizo za kwenye vijiwe vya kahawa tofauti yake ni teknolojia tu ila maudhui ni yaleyale.

Heli wazee wa kubet wameamua kulitumia jukwaa hili kama njia ya kuonyeshana fursa. Nashukuru toka nimejiunga na hili jukwaa miezi 2 iliyopita nimeshapiga zaidi ya laki 9. Vp ndugu yangu unayeshinda MMU na Siasani mwaka wa 10 umetengeneza sh ngapi????? Au umeisubiri serikali ya chadema itakapotawala ikuletee masurufi ya pesa???? Pole sana.
 

Watoto wa Mr. MKENI mnasumbua sana
 

Acha uboyaaavweww.
 

habari ndo hiyo kawambie na wenzako mje jukwaa la FURSA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…