Jana watu wengi mme liwa,Je ni kwanini?
(1) kukariri na kuogopa kufanya usaliti kwa timu
mf. BELGIUM v WALES
point 1.27 kwa 9.70 sasa wengi wetu tunakimbilia points ndogo badala tufanye usa liti wa points ndogo....
(2) tunakuwa wajinga kama nyumbu (samahani) mtu akitoa tip ya timu 5 anasema hii weka pesa hata laki tuna copy na ku paste bila ya kuishirikisha akili yako iwaze zile timu zote.....upunguze ipi au uongeze ipi
(3) Hatuendi na msimu//hatusomi alama za nyakati,kivipi? Saiv ni msimu wa mechi za U17 U19 U21 na za wakubwa za kimataifa
Hatukumbuki ya kuwa wachezaji wengibwa timu za taifa za U17 U19 U21 hutoka kwa timu hizi za championship(ligi daraja la pili) huwa hatuangalii kama timu inawachezaji Muhimu au lah
Tunabet kimazoea
(5)tamaa ni kitu kingine kinacho tuponza..tunataka faida kubwa...kwa kutumia hela kidogo
Mf. 1000 itoe 150000 kuendelea
(6)uoga ni kitu kingine...watu ni waoga wa kutumia pesa upate pesa