Namwendea Muhindi chimbo! Nitarudi weekend na possibles za kufa mtu, atakayenifata ajue amefata asali.
Asante sana Mtoto wa nzi, napita site moja moja na naziona na zingine zenye matokeo atleast 80-90% correct kwa miezi 6 nyuma.
Mfano jana kulikuwa na Israel win, Czec win na zilikuwa na total odd 4, nikasikilizia sikuzicheza ila zilijibu fresh.
Sasa hapa ntakuwa kila siku nachagua timu mbili mbili na kuangalia accuracy ya hizo site, nikijiridhisha kwa siku kama 4 au 5 ndo natupia mzigo wa ukweli.
Hii mbinu ikishindwa naacha hii business.
Muhindi ajipange!
HatARI SANA....... tunasubiri
Chelsea 3+
man city 3+
dortmund 3+
ajax 3+
real madrid 3+
atletico madrid 2+
points jumla 9.49 *12000= 113900
namuwazaaaaaa....... Nijilipue weekend
Dortmund toa kaka
JAMANI, humu kuna wasomi na wana sheria wazuri tu, iki kitu naona mnakipuuzia, kuna siku mtu atakula million mia then atapewa buku mbili, kwanii?
zamani uki-submit tiketi Meridian inaandika ticket submitted ila siku hizi wanaandika ticket submitted with terms and conditions. ebu tujiulizeni vizuri kwanza, huu niwizi wakisomi tusipokua wajanja.....
Mtoto wa nzi Rockcity native xyz123 @Dragondreamx
Tahadhari Dortmund na Man city.
JAMANI, humu kuna wasomi na wana sheria wazuri tu, iki kitu naona mnakipuuzia, kuna siku mtu atakula million mia then atapewa buku mbili, kwanii?
zamani uki-submit tiketi Meridian inaandika ticket submitted ila siku hizi wanaandika ticket submitted with terms and conditions. ebu tujiulizeni vizuri kwanza, huu niwizi wakisomi tusipokua wajanja.....
Mtoto wa nzi Rockcity native xyz123 @Dragondreamx
Hiyo kitu nimeiona na nimejaribu kujiuliza maana yake bila majibu, afadhali umeileta kama kuna wadau watusaidie kufafanua.
mkuu hapa inabidi tupate ufafanuzi mapema wa hii statement, kama ni terms and conditions huwa unatakiwa kuzisoma kabla ya kujoin, lakini sasa hivi kila ukifanya betting wanaleta, kuna siku mtu atalia sana humu ndani.
Mkeka mmoja hautakiwi kuzidi m5.
Kama umepata points 60 na unaweka laki INA maana inabidi update m6 ila utapata m5 tu.
Terms zingne sizijui
Kwa wale wanaopenda ku bet magoli
ligi ya india inafaa sana kwa 0-2 nmefatatilia kwa mda sasa.
Ila na ww waweza fanya utafiti wako pia.