mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,322
- 1,110
game ya psg gol dk ya 28 nakuendelea lazma upge mpunga.
Asante sana Liverpool, Man U, Swansea. Mmenitoa hadi 50$. Leo Arsenal, Chelsea, City, everton napata 51 kwa 8$
Samahani mkuu hivi ukitaka bet mgoli na unataka letsay kubet kipindi kimoja kwa meridian unafanyaje?
angalia kwenye zle option 33 znajieleza fresh.
CHELSEA WIN
MAN CITY WIN
EVERTON WIN
ODDS 3.15.... weka hata 5000 .....upate mtaji 15,750/=...... sizidishi mechi 3 kuanzia leo tuone sasa....kila siku timu moja tu ni usengerema
CHELSEA WIN
MAN CITY WIN
EVERTON WIN
ODDS 3.15.... weka hata 5000 .....upate mtaji 15,750/=...... sizidishi mechi 3 kuanzia leo tuone sasa....kila siku timu moja tu ni usengerema
Kuna jamaa kasema alikamatwa akiwa ameenda kituo cha Meridia kuchukua hela .
Je ina maana hawa watu hawana kibali ya kuendesha michezo hiii au michezo hii ya betting imenyimwa kabisa nchini ?
yap yap huu mkeka hata mie nilikua nauwazia
Kuna umakini sana unatakiwa kwa game ya Mancity nimefatilia sijaona kama Sunderland kafungwa kwao na mancity huwa wanatoa draw-tena kama sikosei mara ya mwisho walitoa draw ya 2-2. Na uliona chelsea alivyo hustle Sunderland kwao ni shida.
sunderland , southampton na totenham waweza washangaza msiamini macho yenu.
dUH ..NIMEWACHEZA WACHINA MTU KAPEWA UNDER/OVER 236, 224, 240...nkasemaaa aaargh kitu gani achan niwajaribu under wote hawa hawa watatu..... duh quarter moja watu wana 70 mwengine 67 ..... nkaona hapana acha niwafatilie kwanza.... la mama yake... yaani kumbe ndio kimbilio la wachezaji wengi wa NBA.... CBAinalipa vizuri almost kama NBA.... young talents wakongwe wengi wanakimbilia huko aseeee..... hata NBA 70 per quarter hawafiki..... nshaliwa hii....sasa kama mtu anaenda half ana 133 (katika 134 si kabakisha 101).... anaenda half 122(katika 224 si kabakisa 102).... kimahesabu za uso tayari....
sunderland , southampton na totenham waweza washangaza msiamini macho yenu.
dUH ..NIMEWACHEZA WACHINA MTU KAPEWA UNDER/OVER 236, 224, 240...nkasemaaa aaargh kitu gani achan niwajaribu under wote hawa hawa watatu..... duh quarter moja watu wana 70 mwengine 67 ..... nkaona hapana acha niwafatilie kwanza.... la mama yake... yaani kumbe ndio kimbilio la wachezaji wengi wa NBA.... CBAinalipa vizuri almost kama NBA.... young talents wakongwe wengi wanakimbilia huko aseeee..... hata NBA 70 per quarter hawafiki..... nshaliwa hii....sasa kama mtu anaenda half ana 133 (katika 134 si kabakisha 101).... anaenda half 122(katika 224 si kabakisa 102).... kimahesabu za uso tayari....