Cardiff,Soton,Cambrige,Leyton.
Wengine vipi leo hamuweki?
Leyton dah......
Wakuu mi mpya humu
ila mi n mzee wa mizigo
nipen info
Cap leo Man U na gol lake pmoja na swansea na gol lake
Mkuu swansea hawezi shinda kwa stoke man u mwenyewe alikaa pale bora uwape draw cap
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Wakuu mi mpya humu
ila mi n mzee wa mizigo
nipen info
Karibu sana, hapa tuna sheria yetu, kabla ya kuweka mkeka hakikisha nyumbani umeacga hela ya mboga.... kie kie kie
swansea majeruh weng wamepona
Cap leo Man U na gol lake pmoja na swansea na gol lake
Mkuu swansea hawezi shinda kwa stoke man u mwenyewe alikaa pale bora uwape draw cap
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Dah hamna ela rahis dunian. Kuna jamaa kashaniaribia mkeka. Mwenye timu tano za uhakika jaman anirushie nataka kutupa mwekundu nipunguze machungu kesho
Leverkusen,galatasaray,everton,napoli na bayern.
Nafikiria kuwapa liver,everton,napoli na galatasaray Wote Cap