Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mi najitoa faham gem 2. Nampa napoli na stock cit. Naweka buku 10 nipate buku 53000

hapo bado hujajitoa fahamu
cheza hivi
napoli vs roma II>
barcelona AW2
new castle v tote IIGG
arsenal v united IIGG
bayern AW2
lervekusen HW2
liver 4+

tia buku tu una million
ukitia buku tano kama mimi

unasubiri m5
 
sure bet hii hapa
arsenal v united GG au 1+1
city v blackcats 1n3+ au 1+1
newcastle v tote GG hakujawahi kuwa na score ya 0-0 tangu mwaka 65 vs uptorn park vs tote

nopoli v roma 1+1
hadi hapo una odd 30+
unatia mwekundu unaskilizia kilo 3
 
Hand cap ya man city,bayern na everton kwa buku 10 una kula elf 40

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
hapo bado hujajitoa fahamu
cheza hivi
napoli vs roma II>
barcelona AW2
new castle v tote IIGG
arsenal v united IIGG
bayern AW2
lervekusen HW2
liver 4+

tia buku tu una million
ukitia buku tano kama mimi

unasubiri m5

Mh mkuu mbona optional ngumu sana...!!

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Liwalo na liwe
 

Attachments

  • 1392228346473.jpg
    1392228346473.jpg
    55.7 KB · Views: 224
Haya sasa,sie tuliompa leverkusen huu ndio muda wa kulala sasa.Maana mpaka full time hakuna mbabe,matokeo ni bila bila.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Haya sasa,sie tuliompa leverkusen huu ndio muda wa kulala sasa.Maana mpaka full time hakuna mbabe,matokeo ni bila bila.

"Nlikuwepo":bolt:

Wajinga sana hawa kwa kudro nyumban na katimu cjui ka daraja la ngap!!
 
2malizie tu kuangalia hizi mechi zilizobaki maana liver anakula kipigo huku!
 
Back
Top Bottom