jamani msaada...mie huwa nabet(meridian) kwakutumia old version leo nimejaribu kwenye new version nikaipenda coz inakupa option nyingi hapo hapo ila tatizo ukishamaliza ni vipi inaingiza kiasi(amount)naku submit tiketi.
jamani msaada...mie huwa nabet(meridian) kwakutumia old version leo nimejaribu kwenye new version nikaipenda coz inakupa option nyingi hapo hapo ila tatizo ukishamaliza ni vipi inaingiza kiasi(amount)naku submit tiketi.
kwan meridian imefunguka.
wakuu nataka jilipua milioni kwa schalke04 vs fc koln, odd 1.75
jaman nataka kujilipua lak mbili cap ya man city na barcelona naomben ushaur.
wakuu nataka jilipua milioni kwa schalke04 vs fc koln, odd 1.75
schalke kashapigwa mkuu!
schalke 04 hawafai, sitawasamehe, di matteo pumba.f zake
southampton naye ndio ajiandae kuporomoka, kumbe hamna kitu mule!