Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Leo nawaza kumpa everton,besktas,liver na fc zurich.kwa buku 3 unapata 52 hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo nmetoa mingi mingi akina fenerbahce,besikts,napoli,zurich lkn kwenye list tofaut
wadau katikati ya wiki muhindi alinipiga weekend nmeona bora nitulie nizichange kwa ajili ya UEFA
Weekend ndo siku za hela knockout round ya uefa itakua ngumu
Besktas lazio napoli madrid na augsburg nimeamua kujilipua liwalo na liwe tu
hali mbaya 🙁
hali mbaya 🙁
nimebakiwa na 1 ya ngama, dah hata team moja kuchagua naogopa pia@
rockcity native leo hutupii mkeka mbona kimyaMkeka wa pili umenitoa, thanx kwa levante,mancity na shalke 04.
mpe juve na madrid. Kwenye game ya liva vs ars. Weka goal each half au ipotezee mi nimempa liver.
zurich,anaongoza,granada tayari,besktas analead. bado liver amdunde arsenal nimdake kanjibah