Wadau uefa hii hapa tena, mie game ya man city vs barca ndio naiona kama italeta gundu maana nataka nimpe city coz form yake saiv ipo juu, sema messi, iniesta na neymar wananiogopesha
Mpe huyo huyo man city hawez kukuangusha..
wakati wa mavuno a.k.a wakati wa kuvunja kibubu a.k.a wakati wa kumdhalilisha kanjibah
Nisipopata mtaji wa kufungulia biashara na hela ya kununulia Altezza kutoka kwa Muhindi nastaafu kubet
Leo namweka leverkusen coz psg nyundo zao 2 hazipo, ibra kadabra na cavani
Kanjibah ananikondesha two weeks nil nakuwa mnyonge mbele ya kanjibah ila ngoja najaribu hii psg sare barca anashnda
Duh, kweli kazi ipo. Naomba nitembelee nyota ya mtu leo. Aliyebet aweke mkeka wake niucopy.
wape leverkuren,mancity,wigan,leyton,cambridge na watfod. Ila hapo mi nimeweka mikeka miwili..
hebu iweke yote miwili
plzzzzz
Mkuu unataka kukopy mpaka tarehe nini?
Am confused nimeshindwa hata kuweka mkeka naona droo tu