Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo


Naenda wapi ili kubet kama hivi na je ni online betting au? Ukishinda mihamala inafanywa vipi?
 
Naenda wapi ili kubet kama hivi na je ni online betting au? Ukishinda mihamala inafanywa vipi?

Mkuu hyo n kampuni ya mbele inaitwa williamhill .uzuri wa betting za mbele zina option nyingi tena zisizobana sana kama makampuni ya kibongo
.
Kwenye kampuni za kibongo pia zipo over na under lakini zinakuwa zimebanwa sana mkuu
 
Mkuu hyo n kampuni ya mbele inaitwa williamhill .uzuri wa betting za mbele zina option nyingi tena zisizobana sana kama makampuni ya kibongo
.
Kwenye kampuni za kibongo pia zipo over na under lakini zinakuwa zimebanwa sana mkuu

Kwa hiyo mkuu hawa mabwana wana apps zao online? Na je unapata pesa zako kwa njia ipi?
 
Huwa sina kawaida ya kurudia timu kwenye mikeka tofauti ila Manyau United walinilaghai nimechana mikeka mi tatu arghhhhh!!!
 
Under (206.5) @ 1.25
WON

Toronto Raptors @ Philadelphia 76ers - Alternative Total Points 4
Under (193.5) @ 1.25
WON

Indiana Pacers @ Miami Heat - Alternative Total Points 4
Under (206.5) @ 1.25
WON

Los Angeles Lakers @ San Antonio Spurs - Alternative Total Points 4
Under (209.5) @ 1.28
WON

New Orleans Pelicans @ Minnesota Timberwolves - Alternative Total Points 4
$ 10.00 Accumulator
$ 10.00
Returns:
$ 25.11
 
jaman wakuu kw mfano umebet timu kumi ya kwanza ikipoteza ticket inandkwa loser au open.
 
Mkuu hyo n kampuni ya mbele inaitwa williamhill .uzuri wa betting za mbele zina option nyingi tena zisizobana sana kama makampuni ya kibongo
.
Kwenye kampuni za kibongo pia zipo over na under lakini zinakuwa zimebanwa sana mkuu

oy bro jinsi ya kujiunga iyo wiliamhill inakuaje kwenye kuweka ela na kutoa???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…